Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,611
Walikuwa wanaenda kufanya live coverage kwa kuzamia tu Unadhani wanaenda kilabuni? Hata kwenye michezo live coverage huruhusiwa na sponsor.
Walipitaje getini Na mitambo yao? Live coverage ungejua maandalizi yake ungefuta post yako.