Mpaka mwaka 2017 watanzania 99.59% watakuwa CCM

Mpaka mwaka 2017 watanzania 99.59% watakuwa CCM

Kitu gani kinakufanya uamini hivyo? Au ni jinsi JPM anavyotumbua majipu? Kumbuka kwamba Rais ametamka bayana kwamba hii ni serikali ya JPM (siyo CCM). Sasa kitu gani kitafanya asilimia kubwa ya waTZ wawe CCM? Na kwa bahati mbaya ikiwa hiyvo si tutakuwa tunarudi kuwa na mfumo wa chama kimoja. Hivyo ndo unavyotaka? Sidhani.Nimalizie kwa kusema kwamba sote tumuunge JPM katika juhudi zake za kutumbua majipu na kukuza uchumi. Lakini sula la kuwataka wa TZ wote wawe CCM nasema a big NO!!!!


Hapa hata mimi nasema big No(Lakini sula la kuwataka wa TZ wote wawe CCM)
 
Kwani magufuli Ni sisiem? Mbona sioni wakiunga mkono juhudi zake?
 
Mkuu huo ni ukweli kwani kwa sasa hata vijana hawaoni aibu kujiita ccm hasa kwa mambo anayoyafanya jpm.

Kijani na njano imefufuka upya.

Kumbe kijani na njano zilishakufa now ndio zimefufuka eeh?
 
Siwezi kuwa ccm tenaaa maisha yangu yote yaliobakia... Ila namuunga mkono magufuli kwa hatua anazozichukua ingawa bado kuna mafisadi wakubwa hawajaguswa
 
Yani haya madudu ya wizi yaliyo fanywa chini ya utawala wa ccm ni sababu kubwa tosha ya Mimi kuikataa ccm maisha Yangu yote hata magufuli angefanya maajabu gan siwez kuwa ccm na kusema Mimi ni mshabiki wa ccm
 
Kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa CCM. CCM hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya CCM mchana usiku wapo upande mwingi, yale makapi yaliobaki yanaondolewa yote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi. Na tunamuomba Mungu Magufuli aende mwendo huo huo.

Karudi darasani. Tambua upinzani ndio umetuletea Mhe Magufuli, kwahiyo kama tanzania tunahitaji kupata viongozi aina ya Mhe Magufuli yatupasa kuimarisha demokrasia ya vyama vya upinzani. Watanzania walimchagua Mhe Magufuli si kwa sababu ni mwanaCCM la hasha na ndio kauli ilikuwa ni chagua "MAGUFULI " sio chagua CCM! Kwahiyo kwa mtu makini nilitegemea kuongelee kuimarisha vyama vya siasa nchini na tuchague viongozi miongoni mwa hivyo vyama kwa sababu kwani mimi mtu hawi bora kwa sababu huko ndani ya CCM. Tanzania tunatakiwa kuweka mfumo unaotoa uwanja sawa wa kuendesha siasa. Tafakari. ...
 
Huu ni upuuzi kudhani kwamba kwa kuwa watu wanamsapoti Magufuli na utaratibu wake mpya wa uongozi ambao ndio watu wanataka kuuona ukitumika, ni sawa na kuisapoti CCM. Hiyo haipo kabisa, kwa kuwa hata CCM kwa sasa haimsapoti Magufuli. CCM imejengwa katika wizi, uongo, unafiki, dhuluma kwa wanyonge, ulafi uliopindukia na yote mabaya, ni vigumu sana CCM kubadilika kwa kuwa hiyo tayari ni 'mindset'. Magufuli amejitenga nao nionavyo mimi, na ndio maana ni vigumu CCM kuitafuta 'credit' kwa matendo ya Magufuli.
 
Kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa CCM. CCM hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya CCM mchana usiku wapo upande mwingi, yale makapi yaliobaki yanaondolewa yote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi. Na tunamuomba Mungu Magufuli aende mwendo huo huo.

Hivi JPM ndo mwajiri wa ccm au ccm ndo imemwajiri? Kijana funguka, jitambue.
 
Kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa CCM. CCM hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya CCM mchana usiku wapo upande mwingi, yale makapi yaliobaki yanaondolewa yote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi. Na tunamuomba Mungu Magufuli aende mwendo huo huo.

Mpaka sasa wangapi wamechukua kadi? Utafiti hauendi hivyo.
 
Siwezi kurudi ujingani!! Namkubali pombe ila si kijani. I have a dream 2020 pombe atagombea upinzani au akiwa binafsi.
Wakasomesha namba balaaa!!!
 
Ukweli mchungu ni huu:Kabla ya uchaguzi Mkuu 2020 JPM atakung'atuka CCM na atajiunga rasmi na Upinzani.Na huo ndio utakuwa mwisho wa CCM.
 
Umeleta hoja kama vile Watanzania wote ni wajinga kama jamii yako.
 
Kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa CCM. CCM hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya CCM mchana usiku wapo upande mwingi, yale makapi yaliobaki yanaondolewa yote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi. Na tunamuomba Mungu Magufuli aende mwendo huo huo.

We Utakuwa Umepakatwa,si Bure!!
 
Kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa CCM. CCM hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya CCM mchana usiku wapo upande mwingi, yale makapi yaliobaki yanaondolewa yote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi. Na tunamuomba Mungu Magufuli aende mwendo huo huo.

We Utakuwa Umepakatwa,si Bure!! Uchafu Muutengeneze Wenyewe Kwa Faida Yenu,leo Mnajifanya Eti Kuusafisha,nani Awakubalie?
 
"SERIKALI YA MAGUFULI" CCM ni genge la wahuni ndiyo maana Magufuli ameamua kwenda kivyake vyake
 
Kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa CCM. CCM hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya CCM mchana usiku wapo upande mwingi, yale makapi yaliobaki yanaondolewa yote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi. Na tunamuomba Mungu Magufuli aende mwendo huo huo.

sijawahi kuona mpumbavu na choko kama wewe uingereza na marekani kwenye huduma bora za jamii ndiko kwenye upinzani
 
Usijidanganye...Watanzania wanamkubali Dr Magufuli as a individual but they hate CCM as a political part...Even Dr Magufuli **** CCM
 
Back
Top Bottom