Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,214
- 20,988
Wabunge wa ukawa wakiongozwa na Mbowe ambao mpaka sasa hivi wamesusia kumtambua Raisi wa JMTZ pmj na serikali yake wameshasaini posho ya kuhudghuria vikao Bungeni itakayolipwa na Serikali ya Raisi Magufuli!
![]()
Kuna haja ya sheria kama hizi kufanyiwa marekebisho, haiwezekani mtu alipwe pesa ambayo hajaifanyia kazi..... Ndo maana wasomi wetu wengi wanakimbilia siasani, kwa sababu ya pesa za bure bure kama hizi.