Bora alivyofukuzwa, kocha mbinu zake mbovu, kila mechi unacheza mabeki 6 mpaka 7 uwanjani, yaani acheze na mkubwa au mdogo yeye anajaza mabeki tu uwanjani, timu inakosa balance, mbele mpira haukai
Mechi ya everton wana red card, badala aingize washambuliaji, yeye akaingiza mabeki mwishowe...