Dogo hayo maelezo umeweza kuandika sababu umepitia Shule. Kwenda shule lengo ni kuelimika. Na sio kuwa tajiri au kufanikiwa maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Popote mkeo alipo ni vema akawa Karibu na wewe.
Kwenye Gari, chumbani, na popote.
Hata kwenye harusi kuna meza ya wazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Namba ya Kiatu
Namba size nguo na Chupi
Namba code ya Somo Chuo
Namba ya Bia ulizoagiza hapa unaweza kumpa faida baa medi
Namba ya Siri Tigo pesa Mpesa Airtel Money
Sent using Jamii Forums mobile app
Qnet Bana. Mungu anawaona. Washaurini waweke Bidhaa za kitanzania. Na Holiday package za kwenda zanzibar, serengeti Katavi.
Pia muwe mnaonesha bank slip/ statement tuone hizo hela nyingi mlizotajirika. Pia mtoe na mikopo iwasaidie watu wanunue bidhaa maana nyie mshatajirika.
Hapo vipi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.