kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,808
Natumaini wazima,
Hebu wagonjwa wetu ambao ndo sababu ya kuwepo kwetu, msingekuwepo nyinyi na sisi tusingekuwepo pia.
Leo niwakaribishe mje mseme kero ambazo mnakutana nazo mnapokuja kwenye matibabu hasa kutoka kwa manesi na madaktari na ikiwezekana toeni ushauri pia.
Karibuni, tunawasikiliza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu wagonjwa wetu ambao ndo sababu ya kuwepo kwetu, msingekuwepo nyinyi na sisi tusingekuwepo pia.
Leo niwakaribishe mje mseme kero ambazo mnakutana nazo mnapokuja kwenye matibabu hasa kutoka kwa manesi na madaktari na ikiwezekana toeni ushauri pia.
Karibuni, tunawasikiliza.
Sent using Jamii Forums mobile app