Recent content by mosses15

  1. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hizo nafasi japo kwa uchache wake zinakuhusu kaka. Amini hakuna linaloshindikana ukimshirikisha Mwenyezi Mungu, ukiweka jitihada katika maandalizi na subira.
  2. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu, Mwenyezi Mungu akuongoze katika majukumu yako mapya.
  3. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera mkuu changa karata zako vyema. Mwenyezi Mungu akuongoze uweze kupata nafasi.
  4. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    TUlale tu wapambanaji, ngoma imesogezwa mbele.
  5. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Habari mkuu PCGAMES Nimepitia kwa makini ujumbe wako na pia nimekuelewa kwa nini unapata sintofahamu. Issue iko hivi, ni kweli matokeo wanatoa katika asilimia (%), hivyo mategemeo yetu ni kwamba kwa maswali ambayo huwa hamsini (50) basi kusiwepo na asilimia isiyogawanyika kwa mbili (2)...
  6. mosses15

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole andaa Suti

    Pia yule comedian wa Ukraine.
  7. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tuma maombi mkuu, inaweza kuwa ndio nafasi yako uliyopangiwa. Maishani kuna mengi ya kushangaza.
  8. mosses15

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu babake ni shekhe wa mkoa ameajiriwa taasisi kubwa serikalini bila interview

    Ni kweli mkuu connection zipo sana. Wenye connection hata ajira portal hawajawahi kuijua na wapo kwenye Taasisi tofauti.
  9. mosses15

    JamiiForums Tanzania KISWELE COACH (Dar-Songea)!

    Hapana mkuu Dar- Songea via Iringa ndio karibu kuliko njia ya Lindi kwa kilometa 100 hivi.
  10. mosses15

    JamiiForums Tanzania Ujio wa SGR tishio kwa mabasi? Inabeba abiria 4000 sawa na trip 70 za mabasi

    Hesabu gani hizo mkuu?.
  11. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Pole sana mkuu, kipindi unachopitia ni kigumu lkn naamini muombe M/Mungu akupe wepesi, weka jitihada ktk utafutaji na mwisho kuwa na Subra. NI suala la muda/ wakati tu lkn utachomoka💪👊💯
  12. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana master👏👏💯 Muda wako ukifika ni umefika tu, hata usipoamini ila ndio uhalisia huo. Hongera sana mkuu, Nakutakia kheri na fanaka tele ktk maisha yako ya Utumishi wa umma. Kumbuka kutoa shukurani kwa kusaidia makundi yenye uhitaji toka ktk jamii yako kama vile watoto yatima...
  13. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu❤️💯 Daima wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kupinga. Hongera kwa juhudi na uvumilivu wako. Katimize majukumu yako vizuri kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma na pia katende haki. Furahia habari hii njema pamoja na ndugu na jamaa zako wa karibu kwani...
Back
Top Bottom