Hizo nafasi japo kwa uchache wake zinakuhusu kaka. Amini hakuna linaloshindikana ukimshirikisha Mwenyezi Mungu, ukiweka jitihada katika maandalizi na subira.
Habari mkuu PCGAMES
Nimepitia kwa makini ujumbe wako na pia nimekuelewa kwa nini unapata sintofahamu.
Issue iko hivi, ni kweli matokeo wanatoa katika asilimia (%), hivyo mategemeo yetu ni kwamba kwa maswali ambayo huwa hamsini (50) basi kusiwepo na asilimia isiyogawanyika kwa mbili (2)...
Pole sana mkuu, kipindi unachopitia ni kigumu lkn naamini muombe M/Mungu akupe wepesi, weka jitihada ktk utafutaji na mwisho kuwa na Subra.
NI suala la muda/ wakati tu lkn utachomoka💪👊💯
Hongera sana master👏👏💯
Muda wako ukifika ni umefika tu, hata usipoamini ila ndio uhalisia huo. Hongera sana mkuu, Nakutakia kheri na fanaka tele ktk maisha yako ya Utumishi wa umma.
Kumbuka kutoa shukurani kwa kusaidia makundi yenye uhitaji toka ktk jamii yako kama vile watoto yatima...
Hongera sana mkuu❤️💯
Daima wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kupinga. Hongera kwa juhudi na uvumilivu wako. Katimize majukumu yako vizuri kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma na pia katende haki.
Furahia habari hii njema pamoja na ndugu na jamaa zako wa karibu kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.