Recent content by mosses15

  1. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera sana na kila la kheri katika majukumu yako mapya.
  2. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hayo ni makosa katika kuchapa, muhimu ni kupata barua ya kuripoti.
  3. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera sana, ukawe mtumishi mwema ndugu🙏
  4. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera sana kaka, kila la kheri katika kituo chako kipya cha kazi.
  5. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hii safi sana, muhimu haki itendeke.
  6. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hizo nafasi japo kwa uchache wake zinakuhusu kaka. Amini hakuna linaloshindikana ukimshirikisha Mwenyezi Mungu, ukiweka jitihada katika maandalizi na subira.
  7. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera sana mkuu, Mwenyezi Mungu akuongoze katika majukumu yako mapya.
  8. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera mkuu changa karata zako vyema. Mwenyezi Mungu akuongoze uweze kupata nafasi.
  9. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    TUlale tu wapambanaji, ngoma imesogezwa mbele.
  10. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Habari mkuu PCGAMES Nimepitia kwa makini ujumbe wako na pia nimekuelewa kwa nini unapata sintofahamu. Issue iko hivi, ni kweli matokeo wanatoa katika asilimia (%), hivyo mategemeo yetu ni kwamba kwa maswali ambayo huwa hamsini (50) basi kusiwepo na asilimia isiyogawanyika kwa mbili (2)...
  11. mosses15

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole andaa Suti

    Pia yule comedian wa Ukraine.
  12. mosses15

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Tuma maombi mkuu, inaweza kuwa ndio nafasi yako uliyopangiwa. Maishani kuna mengi ya kushangaza.
  13. mosses15

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu babake ni shekhe wa mkoa ameajiriwa taasisi kubwa serikalini bila interview

    Ni kweli mkuu connection zipo sana. Wenye connection hata ajira portal hawajawahi kuijua na wapo kwenye Taasisi tofauti.
  14. mosses15

    JamiiForums Tanzania KISWELE COACH (Dar-Songea)!

    Hapana mkuu Dar- Songea via Iringa ndio karibu kuliko njia ya Lindi kwa kilometa 100 hivi.
Back
Top Bottom