Mi nafikiri kwa kua hao waalimu wanaham sana na ajira ni vyema waajiriwe lakini wawekwe wazi tu kwamba mishahara ya kuwalipa hakuna,wajue wataamua nin maana kila siku ajira tu,we umeshaambiwa r"asilimali zote zimeuzwa na CCM"unachoshindwa kuelewa ni nin wazaz wenu si ndo wale...
Mbona siku zote walimu ni wa kudanganywa tu,ukiangalia mshahara wenyewe mdogo....!nyie heshima yenu nikusalimiwa tu darasani,maneno ya kuwajali ni mdomoni tu sio kivitendo,poleni sana nawaonea huruma....!
Outcome of that tecnology is to break relations whatever will be but at the end of the day the aim ni kwamba wazungu wanataka tuwe kama wao ili mwisho wa siku ukiteswa sana na mapenzi find of u'r same sex may be u can got a relief,when u become hated daily by some girls u will conclude to find...
Huyu mchungaji yuko vizuri aisee,angekua anaishi kenya au zimbabwe bila shaka angekua Rais but kwa sababu watanzania wanapenda kudanganywa na rangi bac tena,big up mtikila
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.