Hugo Chavez: WE LOVE AFRICA

Hugo Chavez: WE LOVE AFRICA

uwezo wako wa kufikiri na kuanalyse things ni mdogo sana!!

Kwahiyo wewe na baba yako mzazi ndio mna uwezo wa kuanalyse vitu eenh! hebu changanua kwa upana nilichozungumzia mimi tuone uwezo wako au kama huwezi funga domo lako chafu... na siku nyingine uwe unaandika na masahihisho pale unapomkosoa Mtu... Utaishi maisha marefu.
 
Hata Mandela walikuwa wanamuita hivyo,,wewe kwanini hujiulizi kwanini wamarekani wanahaha kuondoa roho yake, na nini kilitokea Cuba,,cha msingi elewa once una maliasili nyingi kama gesi, mafuta, madini ardhi nzuri ya kilimo, ukikataa kwenda jinsi Wamarekani wanavyotaka lazima wakuondoe duniani kwa garama yoyote

Mchana mwema
Mandela Walimuita hivyo hivyo? unamaanisha jina lipi? mimi nijuavyo Mandela aliitwa Gaidi na wazungu... Naona umequote thread yangu kwa aina mpya mimi sijazungumzia wamarekani zaidi nimezungumzia hao walatin na Mmarekani hawaelewani na Chavez kwa sera zao za nje na kuhusu habari yako ya kizushi kuwa wanaua kwa gharama yoyote hilo huna uwezo wa kuthibitisha.. so huwezi kujiaminisha au kuaminisha watu Chavez anaumwa kwa magonjwa ambayo mtu yeyote anaweza kuugua... tofauti na kupandikiza sumu mwilini kama mlivyowafanyia Mawaziri wa Mbeya.au yule shushushu wa Russia. Tulejee kwenye Mada Halisi kwa asili walatin hawawapendi watu weusi ambao wengi wana asili ya africa na hili halina kificho... Ukienda argentina walihakikisha wanawatokomeza watu weusi kama zile kampeni za kutokomeza mbu... na walifanikiwa baadhi ya nchi zilifail deal lilipogundulika....

Huyu Hugo Chavez anasema kuwa walipokuwa wadogo waliaminishwa asili yao ni Spain ila walipogundua asili halisi yao ni Africa hawana budi kuwapenda waafrica .... Because of my big mouth because of my culry hair. i'm so Ploud to have this mouth and culry hair, because it's African.

Mwafrica huyo anayemaanishwa ni Mwarabu ambaye ndie an Culry Hair na domo kubwa la kusemea ovyo.... Na sio manegro.... Mimi nilitaka kushangaa iweje mlatin apende mweusi wa Africa.... Kama yeye ni mtu mzuri vipindi vyake vya kuongoza nchi vilishaisha na sasa anaumwa aachie wengine waongoze nchi sio analeta ukingunge....
 
Back
Top Bottom