Kama baba alijenga nyumba yenye msingi mbovu, mtoto ukiisha kua bomoa na jenga msingi imara wenye nyumba imara viongozi wetu walitakiwa kuweka kwa muda wote ambao Nyerere hayupo madarakani na ktk dunia hii.TUMHESHIMU NYERERE KWA YALE ALIOYAFANYA KWA TAIFA HILI KWA WAKATI hule na tujadili...
CHADEMA NI CHAMA MAKINI CHENYE WATU MAKINI MIMI KAMA MDAU NIMEFUATILIA SANA HOJA ZA DKT SLAA KAMWE SIJAWAHI KUONA ANAPIGA POLOJO KAMA HIZO SISI VIJANA TUNATAKIWA KUIGA KUJENGA HOJA KWA AJILI YA CHAMA KULIKO KUANZA KULETA MATUSI,KUZALIWA NA MTU FULANI AU KUTOZALIWA NA MTU FULANI ITASAIDIA...
Hivi kwa nini kulalama kuhusu Nyerere wakati wa utawala wake tu Je miaka kumi ya MWINYI isingetosha kubadili mfumo , kwa nini NYERERE TU? JE KIKWETE, MKAPA.Nafikiri huyu SAID NI MDINI KUPINDUKIA nasikia kichwa kuuma kusoma. Wanahistoria waliobobea wanajua kuwa maisha ya mifumo ni kutokana...
Du akili yako ni mgando kabisa hivi baba yako akifa huwezi kumtambua kuwa alikuwa baba yako? Tathimin kwanza kwa nini anaitwa baba wa TAIFA? acha udini kijana
Wewe jamaa kama magodoro yalitoka nyumabani kwa Mwakyembe basi yeye ndie aliyetoa msaada huo.Mimi nafikiri hao unaowasema wangeenda kyela wao kutoa misaada tungejua kuwa niwao. TUMIA AKILI ZAKO VIZURI KUTFAKARI
Nimekubali hii hatari wamechelewa sana kutoa matokeo ya darasa la saba walikuwa wasubili RUFAA YA LEMA ili kutupoteza kwenye matokeo mambaya tusijadili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.