figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,638
- 62,529
Walijitambulisha kuwa wao ni maofisa wa Rwanda?
Ukikamatwa na mwanajeshi utasema kila kitu. Usiombe upelelezwe na geshi. Mia
Walijitambulisha kuwa wao ni maofisa wa Rwanda?
News kwa wajinga hizi wasiofikiria.
News kwa wajinga hizi wasiofikiria.
Rwanda haiko kama mnavyojidanganya nyuma ya keyboard, udogo wa nchi sio hoja, refer vita ya Eritrea na Ethiopia, Kagame ana jeshi kubwa na uwezo wa kifedha kuendesha vita, nchi yetu ni Kubwa lakini hatuendi vitani wote, Rwanda ina wanajeshi 61,000 waliofunzwa vizuri, ni upumbavu, narudia tena ni upumbavu wa hali ya juu, kuomba kupigana na Rwanda
Ushabiki mwingine bana kila nasikia sikia,MUNOSCO ikiongozwa JWTZ sisawa hata,kuna wasouth AFRICA huko,sipendi ushabiki wa kijinga
Haswa kumekucha.