Dr Mwakyembe na kashfa ya misaada Kyela

Dr Mwakyembe na kashfa ya misaada Kyela

Mwakyembe will never walk alone.....you just take my word.
 
amba.nkya

Nikifuatilia kwa makini una lako jambo: hilo la misaada/michango ni kisababu tu. Nimetoa ufafanuzi hapo juu!
 
issue sio majungu wala chuki bali kinachotakiwa ni kujitoa kwake mwenyewe na sio kupitia mgongo wa wengine na hilo ndilo wanachama wake wanahoji pia
Mkuu naona mkuu bado huelewi majukumu ya mbunge ni yapi

wewe unataka yeye ajitoe kivipi atoe hela yake mfukoni?

Mbunge na kiongozi yeyote inatakiwa awe na ushawishi kwa wananchi wake, na wadau wengine wa maendeleo ili kuleta maendeleo na ndicho alichokifanya Mwakie


Kama mnataka ajitoe mwenyewe mngemuomba manji agombee kwenu ili awe anatoa hela yake
 
Wewe jamaa kama magodoro yalitoka nyumabani kwa Mwakyembe basi yeye ndie aliyetoa msaada huo.Mimi nafikiri hao unaowasema wangeenda kyela wao kutoa misaada tungejua kuwa niwao. TUMIA AKILI ZAKO VIZURI KUTFAKARI
 
issue sio majungu wala chuki bali kinachotakiwa ni kujitoa kwake mwenyewe na sio kupitia mgongo wa wengine na hilo ndilo wanachama wake wanahoji pia

ajitoe yeye mwenyewe pesa atapata wapi bila kutafuta wafadhili.? Kama mnashindana kuwapatia wananchi maendelea ni jema wala sio kashfa.
 
Mwakyembe atabaki kuwa shujaa wangu no matter what!
 
watanzania kuishi kwa ahadi naona kama ni mentality ya "utegemezi"....
Muwacheni MWAKYEMBE apumuweeeeee................
 
Mkuu naona mkuu bado huelewi majukumu ya mbunge ni yapi

wewe unataka yeye ajitoe kivipi atoe hela yake mfukoni?

Mbunge na kiongozi yeyote inatakiwa awe na ushawishi kwa wananchi wake, na wadau wengine wa maendeleo ili kuleta maendeleo na ndicho alichokifanya Mwakie


Kama mnataka ajitoe mwenyewe mngemuomba manji agombee kwenu ili awe anatoa hela yake

yaelekea huelewi tunachosema hapa ni pamoja na kiongozi kuwa na ushawishi kwa wadau mbalimbali kuchangia shughuli za maendeleo ni lazima pia appreciate kwa wadau waliochangia mfano. alitakiwa aseme 'naishukuru kampuni ya Bioland kwa kuchangia msaada huu nilioutoa' na si yeye pekee kuwa ametoa mchango husika, nadhani umenielewa
 
ajitoe yeye mwenyewe pesa atapata wapi bila kutafuta wafadhili.? Kama mnashindana kuwapatia wananchi maendelea ni jema wala sio kashfa.

Idawa, yaelekea huelewi tunachosema hapa ni kwamba pamoja na kiongozi kuwa na ushawishi kwa wadau mbalimbali kuchangia shughuli za maendeleo ni lazima pia appreciate kwa wadau waliochangia, kwa mfano; alitakiwa aseme 'naishukuru kampuni ya Bioland kwa kuchangia msaada huu nilioutoa' na si yeye pekee kuwa ametoa mchango husika, nadhani umenielewa
 
Katika hali ya kushangaza na kusikitisha, kuna tetesi kwambaDr Mwakyembe Mbunge wa Kyela amejikuta anapata kashfa na aibu kubwa jimbonikwake Kyela baada ya kutoa na kuahidi misaada mbalimbali wilayani humo; ikiwani njia ya kujibu mapigo kwa Asasi na makamanda wa CHADEMA waliotoa misaada wilayani hapa.
Inasemekana kashfa na aibu ya kufungua mwaka 2013, imempatawaziri huyo baada ya kujifanya ametoa msaada wa magodoro 40 na mashuka 60kwenye hospitali ya wilaya ya Kyela, kumbe ni msaada uliotolewa na Kampuni yaBioland. Aidha, Dr Mwakyembe ameahidi kutoa madawati 180 kupitia mgongo wa benkiya NBC, tawi la Kyela, hata hivyo kuna taarifa kuwa benki hiyo imemkatalia yeyekuwa ndiye ametoa madawati hayo kwa kigezo kuwa benki haiendeshi shughuli zakekisiasa na itakabidhi msaada wa madawati hayo muda wowote itakapoona inafaa. Yote hayo alikuwa anajaribukujibu mapigo ya Asasi ya SCSA au Pambana Saidia Jamii iliyotoa madawati 100kwenye shule ya msingi Ikombe.
Kama haitoshi, Dr Mwakyembe akiwa kwenye mkutano wa hadharakata ya Ngonga karibu na nyumbani kwake aliahidi kutoa mifuko 100 ya sarujiakijibu mapigo ya Diwani wa CHADEMA, kamanda Tamali aliyetoa mifuko 20 kwenyekata hiyo. Ahadi hiyo imeibua hasira kubwa kwa wanakyela kutokana na ukweli kwamba mbunge huyo haonekani jimbonikwake na ahadi nyingi alizotoa jimboni hapa hakuna iliyotimizwa, ndio maana wanakyelahawana imani naye tena.
Kutokana na hali hiyo, kikao cha ndani cha dharura cha CCMwakiwemo wazee kiliitishwa wilayani hapa ambacho kilikuwa mahsusi kumuonya mbungekuhusu mambo hayo aliyofanya kwani ni kuwadanganya wananchi ikizingatiwa kuwaahadi nyingi alizotoa jimboni hapa hajatekeleza.
Upepo na hali ya siasa kwa mbunge huyo si shwali wilayanikyela kama lilivyokuwa 2010, tofauti na watu wengi wanavyodhani kupitia vyombovya habari akionekana mchapakazi kitaifa lakini jimboni kwake wamemchokakwasababu amelitelekeza jimbo lake.

Nawasilisha................

Source: Mdau kutoka Kyela.

Muathirika mwingine wa maamuzi ya Mwakyembe Bandarini! amekuja na kashfa za kutunga za magodoro hahahahaha!
 
yaelekea huelewi tunachosema hapa ni pamoja na kiongozi kuwa na ushawishi kwa wadau mbalimbali kuchangia shughuli za maendeleo ni lazima pia appreciate kwa wadau waliochangia mfano. alitakiwa aseme 'naishukuru kampuni ya Bioland kwa kuchangia msaada huu nilioutoa' na si yeye pekee kuwa ametoa mchango husika, nadhani umenielewa

Mkuu naona una lako wewe si bure

ange appreciate wewe ungefaidika na nini na ungepungukiwa na na nini?

mbona hiyo kampuni haijalalamika
 
Wewe jamaa kama magodoro yalitoka nyumabani kwa Mwakyembe basi yeye ndie aliyetoa msaada huo.Mimi nafikiri hao unaowasema wangeenda kyela wao kutoa misaada tungejua kuwa niwao. TUMIA AKILI ZAKO VIZURI KUTFAKARI

yaelekea huelewi tunachosema hapa ni kwamba pamoja na kiongozi kuwa na ushawishi kwa wadau mbalimbali kuchangia shughuli za maendeleo ni lazima pia appreciate kwa wadau waliochangia, kwa mfano; alitakiwa aseme 'naishukuru kampuni ya Bioland kwa kuchangia msaada huu nilioutoa' na si yeye pekee kuwa ametoa mchango husika, nadhani umenielewa
 
Mkuu naona una lako wewe si bure

ange appreciate wewe ungefaidika na nini na ungepungukiwa na na nini?

mbona hiyo kampuni haijalalamika
Hoja ipo wazi kama kiongozi anapaswa kuappreciate waliompa support, je, na wewe au yeye angepungukiwa nini?
 
Kabisaaaa,hii ndo kashifa ya kuleta jf????!!! Akili yako haina akili aisee.
 
Ukweli ni kwamba Dr Mwakyembe pamoja na uchapakazi wake huku kwenye uwaziri , Jimboni utendaji kazi wake ni hafifu mno , Tuwe wakweli , uhamasishaji wa maendeleo ni kama hakuna kabisa , Ni kweli kabisa kwamba Dr ana maadui wengi lakini hiyo isiwe kinga ya watu kushindwa kuhoji utendaji wake jimboni , kiukweli kilichombeba Mwakyembe Kyela ni ile Ripoti ya RICHMOND tu vinginevyo hakuna kitu , ule uhamasishaji wa kibunge kwa wananchi kujiletea maendeleo ni kama hakuna kabisa , Huo ndiyo ukweli hata kama hatupendi kuusikia ,na tetesi za chini ya carpet zinasema amekorofishana na wapambe wake wa siku zote, akina Richard Kirumbo & co ( wazee wa bia ) , kwa hiyo hata zile propaganda za kupofusha wanakyela ili wasione mapungufu ya Dr a.k.a INGAMBAKO hazipo tena ! Shortly ni kwamba pamoja na mazuri yote ya Mwakyembe, lakini kyela imemshinda ! Sasa tatizo sijui ni ugonjwa au uwaziri ? Yetu macho .
 
Hoja ipo wazi kama kiongozi anapaswa kuappreciate waliompa support, je, na wewe au yeye angepungukiwa nini?

Kwangu mm wananchi ndo wamefaidika kwa sababu huduma zinaimarika regardless nani ametoa
 
Back
Top Bottom