Nipo Mji wa Eldoret Kenya, nawezaje kuangalia live mechi ya Derby wakuu.
Nimeenda Bar ni.eulizia kama wataonesha wanajibu hawana uhakika.
NI channel gan zinaoneshaga huu mpira wa bongo huku Kenya.
Nawasilisha
Unaweza kusubmit bila hizo letter inaruhusiwa isipokuwa wanasema ifikapo January km sio December uwe nayo.
Lingine jaribu kuwatumia email kuwa unaomba scholarship na conditional ni one of your important attachment watakupa au kukupa reply nzuri tu. Mm walinambia ni wiki 6, niliwatumia...
Mvua inahitaji Mbegu bora na resistant hasa kwenye fungal disease na bacterial one, e.g Imara na Assila F1. Dawa strong zinahitajika km OthelloTop na zingine nying. La sivyo hutoboi masika na weng hawatoboi that's why bei imechangamka
Mkuu, mazao mengi hapo uliyotaja ukivuna kuanzia October mpk May, bei yake ni nzuri, hasa ukilima kuanzia eka moja na kuendelea soko ni la muhakika kurudisha capital na faida nyingi hasa mikoa hiyo. Kwa njombe ni mbali sana kupata fuso ya kubeba mzigo mpk Dsm ukafika saa 12 asubuhi, na madali ni...
Wakuu hope mko na Jumapili Mjarabu,
Naomba kuuliza hili jambo kwa sababu ni moja ya kitu ninachotamani sana kufanya. Mimi ni mtaalam mzuri kwenye profession yangu niliyosomea hasa mafunzo (training).
Nimefanya kazi kwenye baadhi ya miradi inayodhaminiwa na mashirika tofauti kwa miaka 5 sasa...
Kwann usilime mazao ya HORTICULTURE. Au lima mazao manne ya matunda yaan passion, nanasi, banana na papai, lima eka moja moja tu jumla 4. Utamake mzee.
Cashew nut utauza kwa mfumo wa ushirika, malipo shida, bei inabadipika, siasa na processing yake,
Palm nakushauri for the future, sa iv kuna...
Natumai mko poa Wakuu,
Watu tumetembea sehemu nyingi, tumesoma sehemu za shule na vyuo tofauti, kutokana na tabia, upenzi wa vitu, kazi zetu, maeneo tunayotokea na a lot of stuffs, huwa inatokea automatically tunapewa majina na washkaji au jamii yetu.
Kwa mfano;
Mtu akiniita Mvunaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.