Tabora

Tabora

Mkuuu karibu unyamwezini niliwahi kula mtoto mkali kwa 10k chuchu saa sita
 
Labda uende hapo Bliss, ukilewa sana nenda Serengeti. Ninachoipende tabora ni high availability ya nyama pori za kununua, hichi kieneo cha mjini hapa ni kama sinza au tabata
 
Kuna mahali kunaitwa Oxygen hapo ndio mahali kumechangamka kunapigwa miziki na watu kula bata yaani huko ndio kama Sinza/Kinondoni yao.
Zaidi ya hapo sinzani kama kuna sehemu nyingine
Hiyo ishakuwa ya kizamani bro, aende Terrace, Blizz na Kiota Lounge!
 
Back
Top Bottom