MoroGent
Senior Member
- Jan 10, 2018
- 149
- 472
Salam sana Wakuu,
Neno Bwana ni common sana, lakin kwa uelewa wangu limekuwa likitumika ili kumkweza mtu au kumpa mtu cheo, mfano mtu anaeza kukuitwa vp Bwana mkubwa😀
Naeza kuelezea Bwana as a Master, means ni mtu unaemheshimu au kumtumikia. So Mwanamke akimwita Mwanaume ni Bwana ake, means anafaa amtumikie, kunyenyekea na kumfanyia anachotaka.
Lakini ni tofauti sana na behavior za wanawake. Anakuita Bwana ake lakin vurugu mechi kibao.
Nawakaribisha tujadili ME kwa KE, why tunaitwa Bwana au Mabwana, do it reflects what it means? Why do they call us in that way?
Nawasilisha😀
Neno Bwana ni common sana, lakin kwa uelewa wangu limekuwa likitumika ili kumkweza mtu au kumpa mtu cheo, mfano mtu anaeza kukuitwa vp Bwana mkubwa😀
Naeza kuelezea Bwana as a Master, means ni mtu unaemheshimu au kumtumikia. So Mwanamke akimwita Mwanaume ni Bwana ake, means anafaa amtumikie, kunyenyekea na kumfanyia anachotaka.
Lakini ni tofauti sana na behavior za wanawake. Anakuita Bwana ake lakin vurugu mechi kibao.
Nawakaribisha tujadili ME kwa KE, why tunaitwa Bwana au Mabwana, do it reflects what it means? Why do they call us in that way?
Nawasilisha😀