Recent content by morocan

  1. M

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Naitaji kujua sehemu ya kununua materials za kutengenezea sabuni za maji na shampoo ....
  2. M

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Hahahhahahha[emoji28] [emoji28] [emoji28]
  3. M

    Tetesi: Mgodi wa Bulyankulu kufungwa

    Nyie hamjamuelewa mtoa mada.. alitaka tu kujua majadiliano ya serikali na barrick yanaendeleaje ila alikosa namna ya kuuliza. So akaamua kutunga habar habari ya uwongo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Barabara za Marekani hazilali kwa kuingiza pesa; kwanini tusiige?

    Kwenye daraja la kigamboni tu wanalalamika.. huko kwingine si itakua balaa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Inahitaji ujasiri kumiliki PASSO

    Acha kudanganya watu. Mimi ni dereva wa IT zinatembea kama kawaida na hazichemshi. Jamaa kauziwa mbovu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Kwa wanandoa tu: Hivi kwanini wake za watu mnajiamini kupita kiasi?

    Mpaka unaandika humu kuomba ushauri hukuwaza kupima hata kidogo... Madhara ya kitendo unachokifanya? Ulitaka tujue urijali wako au tujue jinsi unavyowachezea wake za watu ama nini? Fikiri mara mbilimbili ukishapata jibu njoo utuambie Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Kwa wanandoa tu: Hivi kwanini wake za watu mnajiamini kupita kiasi?

    Mpaka unaandika humu kuomba ushauri hukuwaza kupima hata kidogo... Madhara ya kitendo unachokifanya? Fikiri mara mbilimbili ukishapata jibu njoo utuambie Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Kutoka Tanga: Rais Magufuli awapatanisha Clouds Media Group na Paul Makonda

    Hahahhahahhahahha.. kabla hujatoa maoni yako, ungeuliza kwanza. Hayo yametokea ndio mubashara kabisa wenye tv au redio wamesikia Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Naona kama dunia nzima imeniangukia

    Gari na kiwanja tayari ni assets. Kubali kuuza kwa hasara... Una gari aina gani. Nitafute nikusaidie kupata wateja... Kubali kurudi nyuma uanze upya
  10. M

    Pwani: Askari Wawili wa Usalama Barabarani wauawa kwa kupigwa risasi Kibiti

    Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi
  11. M

    IGP, Kama unataka kuwakamata wauaji Pwani...

    Jamaa yupo vizur kwenye analysis...
Back
Top Bottom