Nyie hamjamuelewa mtoa mada.. alitaka tu kujua majadiliano ya serikali na barrick yanaendeleaje ila alikosa namna ya kuuliza. So akaamua kutunga habar habari ya uwongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka unaandika humu kuomba ushauri hukuwaza kupima hata kidogo... Madhara ya kitendo unachokifanya? Ulitaka tujue urijali wako au tujue jinsi unavyowachezea wake za watu ama nini? Fikiri mara mbilimbili ukishapata jibu njoo utuambie
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka unaandika humu kuomba ushauri hukuwaza kupima hata kidogo... Madhara ya kitendo unachokifanya? Fikiri mara mbilimbili ukishapata jibu njoo utuambie
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhahahhahahha.. kabla hujatoa maoni yako, ungeuliza kwanza. Hayo yametokea ndio mubashara kabisa wenye tv au redio wamesikia
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.