Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Mkuu,jitahd ukasafishwe baada ya hapo achana na hyo michezo...,usiache kabla hujaenda kusafishwa!
Unataka kusema shahawa za mwaka Jana mpaka sasa zipo humo?
Zinaishije,
Hebu acheni umbumbumbu,
Ishu ni yy kusema hapana,
Full stop,
Na amuambie huyo mwenzake HAPANA,
Km hataki ampige chini fasta,
 
Unataka kusema shahawa za mwaka Jana mpaka sasa zipo humo?
Zinaishije,
Hebu acheni umbumbumbu,
Ishu ni yy kusema hapana,
Full stop,
Na amuambie huyo mwenzake HAPANA,
Km hataki ampige chini fasta,
huwa zinawasha kule! Dawa na kuzima ule muwasho
 
Nimequoter uzi wote ili uone comment yangu:
Si rahisi kuacha kwa sababu sperm zinavyoingia mkundun# huwa zinaenda kujificha mahali hivyo hukaa huko mpaka zinavyooza na kuanza kuwasha kwa sababu mkund hausafishiki kama kwenye kum@, na kila ukiwashwa hapo ndipo unapojisikia hamu ya kufanya tena, na ndio mana c rahisi kuacha endapo tu jamaa amemwagia ndani, (anafanya hivyo kukomoa)

Kiroho ili upone
Funga siku tatu ( siyo kavu) kwa ajili ya kuomba tobaa, tubu kweli kweli na moyo wako ukidhamiria kuwa unaacha, ikiwezekana mshirikishe rafiki ako wa kiroho akusaidie kufunga ( mfunge wote) pia funga tena siku tatu kwa ajili ya kumshukuru Mungu
Zinajificha wapi acheni kumyisha,
Zinaozaje bana?
Acheni umbumbumbu,
Hakuna cha kuoza wala kujificha,
Kuwasha mnakosema huwa ni hisia ya kimazoea,hata wewe jenga mazoea ya kujikuna sehemu,Fanya hivyo kwa muda mrefu uone km haitakuwa tabia,
Mazoea hujenga tabia,
Tabia hujenga hamu,
Hamu huzaa uhitaji,
Uhitaji ukizidi huzaa usugu,
Usugu ukizidi.......akili hugota hapo na kuanza kuamini uongo,
Suruhu ipo ndani yake,
Moja ya mambo magumu kuacha ni pamoja na punyeto,lkn watu huacha
Acheni kuleta elimu za waganga wa jadi,
 
Upumbavu endelea hivohivo ila ukae ukijua na kizazi chako kitakua hivohivo.

Km utazà mtt wa kiume atakua shoga wakike na atakua km we sbb hiyo ni mbegu unapanda
 
Inasikitisha vijana wengi wameona bira kuingiliwa/kuingia topeni wewe sio mjanja.. Kanda za ngono zinatualibu sana vijana wa sasa.. Anyway dada yangu sitaki kukulaumu moja kwa moja maana vijana wengi tumejikuta tumelowea umo either kwa kurubuniwa na wapenzi au kutaka kujua chungu au tamu yake ini hipi. Ikiwa unauchukia kwa dhati uo mchezo ni vema ukamwone daktali (usione haya) kama jama aliwai kumwagia shahawa zake umo kunanamna ya kuzitoa.. Kumbuka kuendelea kuwepo kwa shahawa uko nyumanji ni kuendelea kufanya mchezo uo.
Nilimfanyia dada mmoja huu mchezo na ndyo ilkuwa mara yangu ya kwanza. Nilpokarbia kukojoa akanilazimisha nikojolee humo humo. Mpaka leo huwa najiuliza why?
 
Pole sana binti.
Fanya maamuzi mapema sana.

Amini usiamini, mwanaume akishaanza kukula TiGo, hawezi kukuoa tena na utaendelea kuwa kiburudisho chake tu.

Kuacha ni maamuzi yako tu.
 
Wanaomlaumu huyu dada kuwa si bahat mbya haiwezekani mnakosea sana. Kuna midume mijanja. Inategesha yale mafuta ya anal hata kwenye kona ya kitanda. Wewe huna habari kumbe kaishakupaka, mara unasikia mzee kaingia. Na wanawake akiwekewa na akasikia raha anaanza kukatika.
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbani.

Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda.

Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.

Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Kapigwe bomba tu hakuna namna. Katolewe mauchafu hayo yanayokuwasha huko ikweta
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.

daahhh Mungu husamehe dhambi uzuri ni kuwa umeshatambua kuwa wewe ni mtenda dhambi kwa hiyo uwezo wa kugeuka upo kabisa ni wewe watu wanaweza kukushauri hapa na kukupa njia nyingi tu za kuacha lakini kama wewe hujawa tayari kuacha hizo shauri zao zitakuwa za kazi bure cha pili unaogopa kuwa mwenza atakuacha hivi ni yupi akikuacha utapata hasara hapa duniani ni mwenza au ni Mungu ni heri kuachwa na mwanadamu lkn sio kuachwa na Mungu ndugu yangu unafikiri huyo mwenza wako anakupenda? laiti angekuwa anakupenda asingekufanyia mambo kama hayo mimi sijui wewe ni dini gani ila kwa wakati wako pitia hili neno Warumi 1:26-27-28 mimi tu nikuambie hakuna mtu anayeweza kumbadili mtu kutoka kwenye uchafu isipokuwa Mungu pekee yake na ni kwa vipi ni kwa yule mtu mwenyewe kuwa tayari kwa mabadiliko ni waraka 1yohana 1:8-9 ni kutie tu moyo Mungu bado ni wa rehema hutusamehe kila itwapo leo geuka mwambie Mungu ulikosea lkn sasa narejea kwako Neema ya Mungu iokoayo wanadamu wote ikakuokoe na wewe.
 
Zinajificha wapi acheni kumyisha,
Zinaozaje bana?
Acheni umbumbumbu,
Hakuna cha kuoza wala kujificha,
Kuwasha mnakosema huwa ni hisia ya kimazoea,hata wewe jenga mazoea ya kujikuna sehemu,Fanya hivyo kwa muda mrefu uone km haitakuwa tabia,
Mazoea hujenga tabia,
Tabia hujenga hamu,
Hamu huzaa uhitaji,
Uhitaji ukizidi huzaa usugu,
Usugu ukizidi.......akili hugota hapo na kuanza kuamini uongo,
Suruhu ipo ndani yake,
Moja ya mambo magumu kuacha ni pamoja na punyeto,lkn watu huacha
Acheni kuleta elimu za waganga wa jadi,
Sawa mganga wa muhimbili

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Nakukumbusha tu kama leo unaogopa kuacha kwa sababu atakuacha,iko siko atakuacha kwa sababu ameshakuharibu huko nyuma na atakuona mwanamke usiyefaa,siku hiyo atakuacha kwa kukudharirisha zaid,bora uamue leo kitu sahii wakati bado utashi wako unanguvu ya maamuzi,kumbuka mapenzi kunyume na maumbile sio tu ni dhambi lakin pia utadhalilika ukitaka kujifungua
 
Kitabu kitakatifu kinasema haisameheki unaiona jehanamu straight.
dhambi zote zinasameheka Biblia neno la Mungu inasema ila dhambi mmoja tu nayo ni ya kumkufuru Roho Mtakatifu Mungu ni wa rehema sana tena sana na ni wahuruma tena amejaa pendo kuu sana babo anayo nafasi sana
 
Jamani sijauliza ili mnitete au kuniuliza yasio jenga nimefata ushauri na ntayafanyia kazi nataka kuacha kweli. Mi sijui iliingiaje au alitumia nini kufanya iingie na ninogewe papo hapo na sababu nliopewa ni iyo kua alipitiwa kisa pombe. Ila tangu siku iyo siwez kuji control kila nifanyapo nasubir anifanye ila nkiwa kawaida au katika hali yakutulia nafsi inanisuta. Mnaofanya utani asanteni mbarikiwe mnaoni consider nashukuru kwa ushauri wenu. Swali langu la mwisho je nikitubu hii dhambi kweli itafutwa?
ukitubu kwa nia ya dhati kabisa nia hiyo ni hii ya kuacha kufanya hicho kitendo nakujutia kabisa Mungu ni wa rehema atakusamehe atakusafisha 1yohana 1:9 soma hilo neno litakutia nguvu
 
Hapa kila mtu atajifanya mchungaji na kuchanganua vifungu vyote vya sodoma na gomora.

Lakini ndio hao hao watifuaji na watifuliwa vinyesi hodari!!!!
 
duh ya walimwengu mie siyawezi. kweli mlango wa uani Bahati mbaya unavyokuaga tight au wewe uou wazi sana khaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom