kuna jamaa alipiga ml300 kweny kitungu na hakuwa amekipeleka sokoni watu walimfuata shambani wanahitaji mzigo..
ukiachana na vitunguuu kuna wakulima wa parachichi njombe wanpiga helaa achenii.
hata umwelekeze huyo hatokuelewaa
haha una tatizo sehemu we sio mzima na huyo alietengeneza huo uzi AKILI MMEKALIA. naweza kupa takwimu ukashangaa kwa siku miti inyokatwa njombe mafinga iringa mbeya ni nusu ya hiyo miti uliyotaja hapo na bado mvua zina nyesha na maji hujaa mpak mabwawa yanataka kupasuka leo hii kisa bwawa la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.