Katiba mpya ni muhimu katika kumwajibisha kiongozi aliyeshindwa kutekeleza ahadi alizohaidi wakati wa uchaguzi sasa mtu kama simbachawene hawezi kukubaliana na katiba mpya kwa sababu wao ndio wanaoongoza kuahidi ahadi ambazo hawatekelezi ndio maana 60years ya uhuru Tanzania bado tunazungumzia...
Alifeli ifunda hiyo degree ya sheria ina walakini maana aliipata baada ya kuwa mbunge ie watu waliosoma sheria wanajua mziki wa kupata hiyo degree lakini hawa wakina simbachawene hizi degree wao wanataka vyeti na tittles ila sio content ya walichosomea
CCM na wat wao wanatumia ujinga wa watanzania kula mema ya nchi sasa mtu amekua mbunge kwa vipindi vitatu mfululizo eti bado anajivunia kuzungumzia changamoto zilezile ie maji, umeme, afya na barabara lakini hii yote shida inaanzia kwenye mfumo hakuna sehemu yoyote mwananchi/mpiga kura anaweza...
Hizo dini za mapokeo zinatuvuluga sana waafrika sasa ukimuuliza hata hiyo dini yake mwenyewe ameletewa na mwarabu by the way hizi dini za mapokeo sio kwa faida ya mwafrika zipo ili kutugawa, kutudunisha na kupora asili yetu. Hakuna mwuislamu au mkristo safi akiwa mwafrika hizo dini ni bora kwa...
Mahakamani issue sio kutenda haki ila haki inatakiwa ionekane inatendeka ie uhuru wa kutoa taarifa za mienendo ya kesi kama anavyofanya huyo bwana sasa unapozuia watu kutoa taarifa wanataka kuficha nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.