gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,204
- 5,780
Tatizo ni ufukara na umasikini mkubwa iliopo kwa wananchi wengi.Factors ni moja tu,ya serikali kushindwa kusimamia vizuri rasilimali zilizopo ili kuleta unafuu wa maisha bora kwa wananchi wake.Kuanzia elimu,afya na siha za watu.Usitukane watu kwa sababu wamekosa hiki na kile, hao wote hawajapenda kuvaa au kuwa hivyo, ni factors nyingi sana zimewasukumia huko! Wewe kama una kauwezo na unajiona mjanja kwa hako ka uwezo kako then shukuru and piga kimya mf