Msaada wakuu
Nimepoteza USB receiver ya wireless mouse ya Lenovo ila kuna receiver nyingine ya Lenovo nayo haina mouse kuna uwezekano wa kuiunganisha hii mouse na receiver isio yake. Kwa yeyote anaejua please
cc @chiefmkwawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wakuu, kama inavyojieleza kuna wakati unakutana na kitu fulani na unaona ni kizuri. Unapenda watu wengine wakijue, ili na wao wapate kufaidika kama unavyofaidika wewe.
Nimeona nije na huu uzi sababu nahisi kuna vitu vingi humu ambavyo kila mmoja anavijua kwa upande wake na angependa na...
Ivi mjamzito aliyeathirika na VVU inawezekanaje akawa na ujauzito afu mtoto asiathirike, na pia HIV anakua kaipata baada ya ujauzito au inawezekana waathirika wakapeana mimba baada ya kuathirika na kuzaa mtoto asiyeathirika na HIV?
Huwa mnaona wanaume wanaowafaa wanatoka mbinguni, kumbe ni sisi tunaowazunguka punguzeni manyodo mkuu.
Pia wanaume hatupendi mwanamke mjuaji sana kama walivyo wasomi wengi maana mnasumbua sana kwa kibri na jeuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.