Money Box
Member
- Jan 23, 2018
- 38
- 36
Nimekuja uku baada ya kuona hii, hii ndo series sasaukimaliza LOST njoo tuangalie WESTWORLD
Ujana maji ya moto mkuu 😂😂Dah!..ulicheza kamari kubwa sana mkuu.
Huo moto wa radii season ya ngap now mkuu
Wamekutana na lagertha
LOST ni series ya kishenzi sana. Hakuna cha akili kubwa wala nini!
Series ikishakuwa na complicated scenarios na distracting flashbacks inakuwa ni takataka!
Unaangalia series kama unalima majaruba! No way!
Sent using Jamii Forums mobile app
asante sana mkuu watu wachache wanaelewa hili dude
Series yenyewe inaitwa lost na wewe ukaenda kupotea mazima.
Uzuri wa 24 upo wapi?
Inahusu Nini?
Hiyo series ya 24 Inahusu Nini? Na imekuvutia Nini kwenye hiyo series?Wamekutana na lagertha
mzee kama una interest na series zinazo husu jinsi usalama wa taifa wanavyo operate mission mbalimbali kulinda nchi basi hakuna series ambayo inaweza kuipita 24 kweny intelligence matukio ni unpredictable huwez jua tukio linalofuata unakuta mtu ni adui mwanzo wa series anakuja kuwa upande wa nchi anarud Tena kuwa adui hahaha hata rais anakuja kuwa adui tafuta muda utulie Anza nayo season 3 hivHiyo series ya 24 Inahusu Nini? Na imekuvutia Nini kwenye hiyo series?
Ok nimekupata naomba unisaidie kwenye hili nimedownload series ya West world episode 1 nimeangalia kifupi kwenye app ya popcorn Time ili niende kula baada ya kuanza Tena niendelee nimekuta mwaga umepungua lakini pia subtitle haioneshi Kama mwanzo naomba unisaidie kwenye hili.mzee kama una interest na series zinazo husu jinsi usalama wa taifa wanavyo operate mission mbalimbali kulinda nchi basi hakuna series ambayo inaweza kuipita 24 kweny intelligence matukio ni unpredictable huwez jua tukio linalofuata unakuta mtu ni adui mwanzo wa series anakuja kuwa upande wa nchi anarud Tena kuwa adui hahaha hata rais anakuja kuwa adui tafuta muda utulie Anza nayo season 3 hiv
Unatumia app gani kudownload movie or series?
Hii ni series gani mkuu?