Darasa Huru: Ufundi Laptop (Beginners To Advanced) PART 2 EP01: Tuijue Laptop Na Tuifungue Kisha Tuifunge

Ni Lenovo G580 mkuu windows 10 bro.
Ok pole mkuu, je kuna leakage yoyote kwenye hiyo miguu ya laptop pande mbili zote, ilishawahi kuanguka?
kama vyote havijawahi najua kuwa hiyo itakuwa ni driver update za graphics ndio zinakusumbua, so kwa point uliyofikia hapo unaweza Kufanya Mawili:

1. Kama unaweza kufika kwenye windows basi ingia kwenye device manager na Unistall Graphics Driver Then Restart
2. Unaweza Kuifungua PC Yako kwenye safe Mode Kama pia una ACCESS ya Windows Home.
3. Ikishindikana Vyote From My Experience Kwa Windows 10, Fanya Fresh Installation Ya Windows Nyingine.
Karibu
 
Mac book pro yangu nikiconnect wi fi inasema..NO HARDWARE INSTALLED,nifanyaje?
Mkuu Unapata Hiyo Error Sababu:MACOS Yako imeshindwa kuigundua Wifi Adapter Yako, Hiyo inatokana na mambo mawili
1. Adapter Imekufa
2. Haiko Installed

Unawezaje Kufix:
Mimi Huwa Nafanya ATH (Hardware Testing), Shikilia D Button Wakati Inawaka Hakikisha Ipo Connected Na Charger.
Au Fanya Reboot In Then Tumia Finder Fuata Haya Maelezo:
Nenda Kwenye finder
Juu Utaona GO, Then Go To Folder
Copy na Paste Hii URL
Then Find and Trash
/Library/Preferences/SystemConfiguration
Find and trash NetworkInterfaces.plist, com.apple.airport.preferences.plist, com.apple.wifi.message-tracer.plist


Then Fanya Ku Restart

Ikishindikana Basi Itabidi Ubadili Card.

Karibu
 
Ok pole mkuu, je kuna leakage yoyote kwenye hiyo miguu ya laptop pande mbili zote, ilishawahi kuanguka?
kama vyote havijawahi najua kuwa hiyo itakuwa ni driver update za graphics ndio zinakusumbua, so kwa point uliyofikia hapo unaweza Kufanya Mawili:

1. Kama unaweza kufika kwenye windows basi ingia kwenye device manager na Unistall Graphics Driver Then Restart
2. Unaweza Kuifungua PC Yako kwenye safe Mode Kama pia una ACCESS ya Windows Home.
3. Ikishindikana Vyote From My Experience Kwa Windows 10, Fanya Fresh Installation Ya Windows Nyingine.
Karibu

Thanks a lot mkuu.

Ila tatizo ni kuwa ukiiwasha tu inaleta rangi nyeupe kioo chote ukiizima ukawasha inafanya hivyo hivyo, yaani haioneshi chochote kwenye screen kiongozi.
 
Thanks a lot mkuu.

Ila tatizo ni kuwa ukiiwasha tu inaleta rangi nyeupe kioo chote ukiizima ukawasha inafanya hivyo hivyo, yaani haioneshi chochote kwenye screen kiongozi.
Ukiwasha Pale pale Tu au baada ya kuweka password?
nakuuliza kwa sababu mwanzoni ulisema ukishaweka password ndio inakuja hiyo White Screen.

Hebu weka maelezo vizuri.

Au NIJIBU HILI SWALI: White Screen Inakuja Ukiwasha Kabla Au Baada Ya Logo Ya Windows?
 
Ukiwasha Pale pale Tu au baada ya kuweka password?
nakuuliza kwa sababu mwanzoni ulisema ukishaweka password ndio inakuja hiyo White Screen.

Hebu weka maelezo vizuri.

Au NIJIBU HILI SWALI: White Screen Inakuja Ukiwasha Kabla Au Baada Ya Logo Ya Windows?

Well, Jana nilivyowasha ikawaka na ikaonesha mpaka logo na ikafika mpaka sehemu ya password, nikaweka password nika-press ENTER ikaanza ku-fade taratibu mpaka ikawa nyeupe screen yote.

Nikasema ngoja nii-restart nikafanya hivyo ikaja hiyo rangi nyeupe tena. Nikatoa battery nika-connect direct na adaptor bado ikawa hivyo, nikaipumzisha then baadae nikawasha tena still ikawa hivyo mpaka jioni hii. It means haikuleta tena logo wala sehemu ya password imekuwa white tu kila nikiiwasha mkuu.

Hope nimeeleweka vyema kiongozi. Thanks.
 
Well, Jana nilivyowasha ikawaka na ikaonesha mpaka logo na ikafika mpaka sehemu ya password, nikaweka password nika-press ENTER ikaanza ku-fade taratibu mpaka ikawa nyeupe screen yote.

Nikasema ngoja nii-restart nikafanya hivyo ikaja hiyo rangi nyeupe tena. Nikatoa battery nika-connect direct na adaptor bado ikawa hivyo, nikaipumzisha then baadae nikawasha tena still ikawa hivyo mpaka jioni hii. It means haikuleta tena logo wala sehemu ya password imekuwa white tu kila nikiiwasha mkuu.

Hope nimeeleweka vyema kiongozi. Thanks.
Ok hapo nimekuelewa mkuu, so kwa mimi naweza sema ni hardware au software issue, so kama ningekuwa nayo au kukushauri ungeajaribu kufanya kama una install windows ili tuone kama inawezekana au haiwezekan, kama haiwezekan hiyo itakuwa ni hardware issues kwenye graphic mchezo huu upo sana kwene AMD, Au Ribbon Cable ya Kioo Imeachia Kidogo.
Kama Ushampa Fundi Its Ok. But Am Sure Shida Itakuwa Hapo

Asnte
 
Ok hapo nimekuelewa mkuu, so kwa mimi naweza sema ni hardware au software issue, so kama ningekuwa nayo au kukushauri ungeajaribu kufanya kama una install windows ili tuone kama inawezekana au haiwezekan, kama haiwezekan hiyo itakuwa ni hardware issues kwenye graphic mchezo huu upo sana kwene AMD, Au Ribbon Cable ya Kioo Imeachia Kidogo.
Kama Ushampa Fundi Its Ok. But Am Sure Shida Itakuwa Hapo

Asnte

Nafkiri cable ya kioo inaweza kuwa na tatizo coz mwanzo alivyoifunga motherboard wakati naitumia kwa chini kabisa ya screen kulikuwa na mstari mweupe una-blink hivi...!
 
Mkuu mie Nina Laptop ya Dell,tatizo lipo nikiweka kwenye charge mouse yake inakuwa nzito Ku move Ila nikitumia zile mouse za kuchomeka tatizo linakuwa halipo
 
Mkuu mie Nina Laptop ya Dell,tatizo lipo nikiweka kwenye charge mouse yake inakuwa nzito Ku move Ila nikitumia zile mouse za kuchomeka tatizo linakuwa halipo
NimelizungumzaHapo Juu Hilo Tatizo?
Umesom Uzi Wote
 
Back
Top Bottom