Wanaume wote wanafanana ,wote wanatamani tu

Wanaume wote wanafanana ,wote wanatamani tu

Yaani sipendi mwanamke anayependa kuwasiliana kila saa kama wanafunzi, tena akiwa analeta lawama sana ndo ananipa ticket ya kumpiga chini.
Wee kama mimi
 
Ulikua ujui au
ismail.jamadi-20181201-0001.jpeg
 
Tatizo na nyie wanawake mkipendwa hamuamini kama mmependwa mnahisi kama mnadanganywa vile.
 
Ni ngumu sana mwanamke kupata mwanaume anaekupenda. Wengi wao
Akishakugegeda anawaza kupata k mpya.
Hapo wewe mwanamke ndo ushakufa Na kuoza juu yake. Ukute tena ana kibamia cha Nazi ndo utakoma.
Ukishaona mwanaume hakutafuti kwenye simu ,mawasiliano hayapo hayapo mpaka uanze wewe jiite tu bikra kama Mimi miss .jua huna chako wacha kusumbua watu kuomba ushauri.
Na nyie wanaume mliooa wacheni kutusumbua pambaneni Na machaguo yenu huko.
Ulishaona wapi jogoo ana mtetea mmoja??
 
asa wewe nan kakwambia ujaribu wanaume wengi??
 
Mwanamke mmoja hatoshi.

Halafu kama mtu anakukula anakuacha ujue wewe utakuwa na shida fulani fulani.

K tamu haziachagwi kizembe
 
Wapo wanaopenda, ila wachache sanaa. Wengi tunaibiana tu.
 
Ni ngumu sana mwanamke kupata mwanaume anaekupenda. Wengi wao
Akishakugegeda anawaza kupata k mpya.
Hapo wewe mwanamke ndo ushakufa Na kuoza juu yake. Ukute tena ana kibamia cha Nazi ndo utakoma.
Ukishaona mwanaume hakutafuti kwenye simu ,mawasiliano hayapo hayapo mpaka uanze wewe jiite tu bikra kama Mimi miss .jua huna chako wacha kusumbua watu kuomba ushauri.
Na nyie wanaume mliooa wacheni kutusumbua pambaneni Na machaguo yenu huko.
Hahahaaa, hapo lazima kuna jambo, kama tulivyonusurika kufahamiana wakati uleee,mpaka leo sijawahi kuijua sura yako ila upo veeeery open,hiyo tu hufanya nikusome some!!!!
 
Yaani sipendi mwanamke anayependa kuwasiliana kila saa kama wanafunzi, tena akiwa analeta lawama sana ndo ananipa ticket ya kumpiga chini.
Nilishawah kupata dem Wa type hii. Yan kila mda anataka mchat, msumbufu mbaka anakera.. Usijibu SMS au kuto kupokea cm alikuwa analalamika.. Baadae mwenyewe akajiondosha.
 
Tukishazipiga chura makofi huwa tunasepa kwenda kutafuta kipya kinyemi![emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Back
Top Bottom