Ni haki kabisa ya mtt wa rais kulindwa na kuhudumiwa na serikali. Leo akitekwa au akiuwawa ww unafikiri itamgusa vp rais ktk kutekeleza kazi zake za urais. Ikiwezekana mtt apewe helicopter
Dah ukisikia kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi ndio hii sasa. Mi nakushauri kula ngumu ya jeshi, usimreport polisi huyo hawara yako, tulia kimya jitenge naye, simu zake block hlf usikilizie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.