Omonto unachosema ni sahihi kabisaa kwa sababu hata wataalamu wa lugha wanamaizi kuwa hakuna lugha iliyo bora kuliko nyingine, lugha yoyote ni bora kwa sababu inawawezesha wanayoitumia kuwasiliana! Kiswahili ni lugha inayojitosheleza katika nyanja zoote
Kwa uelewa wangu anayeoa ni mwanamume na ndivyo linavyokubalika hata katika jamii nyingi za kiafrika, kwa mfano kijana (wa kiume) wa mzee flani kamuoa binti wa mzee flani na wala si kinyume chake
Aksante isaack na hongera kwa kulijua hilo, issue c kuangalia kwenye mtandao tu kuna watu wa info kuliko unavyodhani! nikupe pole kwa kudhani kila kitu kinapatikana kwenye mtandao, kinapofika kwenye mtandao wenzio tayari wanjua kila kitu.
nashukuru kk nitaitumia kwa kutuelimisha. kwanza dawa ni rahisi kupatikana, pili ni pesa kidogo ambapo kila mmoja anweza kuimudu, tatu haina kemikali ambazo ni hatari kwa miili yetu. Thank u very much!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.