zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Sifa za Mume Mtarajiwa:
1. Anapenda Ugomvi.
2. Hana mawasiliano na mke wake mtarajiwa(Simu).
3. Anacheat na wanawake wengine.
4. Hana mipango yoyote ya mbele kuhusu maisha/maendeleo na mke wake mtarajiwa.
5. Mlevi wa kupindukia.
6. Hapendi ndugu wa mke wake mtarajiwa.
7. Muongo.
8. Hapendi kujadili lolote na mke wake mtarajiwa na endapo litatokea la kujadili anajifanya yuko bize au mkali kweli.
9. Mwepesi wa hasira.
10. Hataki kushauriwa na yeyote yule.
11. Mchafu.
12. Sio mcha Mungu/Ala.
13. Msingiziaji.
14. Anapenda kusikiliza maneno ya watu na kuyafanyia kazi bila kufanya uchunguzi.
15. Anadharau.
16. Anakiburi.
17. Hajui kupanga bajeti katika maisha yake.
18. Anapenda starehe.
19. Mvivu.
20. Hapendi kutafuta suluhisho katika jambo lolote lile.
1. Anapenda Ugomvi.
2. Hana mawasiliano na mke wake mtarajiwa(Simu).
3. Anacheat na wanawake wengine.
4. Hana mipango yoyote ya mbele kuhusu maisha/maendeleo na mke wake mtarajiwa.
5. Mlevi wa kupindukia.
6. Hapendi ndugu wa mke wake mtarajiwa.
7. Muongo.
8. Hapendi kujadili lolote na mke wake mtarajiwa na endapo litatokea la kujadili anajifanya yuko bize au mkali kweli.
9. Mwepesi wa hasira.
10. Hataki kushauriwa na yeyote yule.
11. Mchafu.
12. Sio mcha Mungu/Ala.
13. Msingiziaji.
14. Anapenda kusikiliza maneno ya watu na kuyafanyia kazi bila kufanya uchunguzi.
15. Anadharau.
16. Anakiburi.
17. Hajui kupanga bajeti katika maisha yake.
18. Anapenda starehe.
19. Mvivu.
20. Hapendi kutafuta suluhisho katika jambo lolote lile.