w/o emotions we'ren't sane, emotions and intelligence goes together like two sides of a coin..!
being a man means being emotionally aggressive na hapo utakuta most of us tuko na hyperactive behaviours as opposed to girls who are mostly subjective, and that is what we call feminism..!
UNESCO na WWF waliwashaonya juu ya hili na madhara mengne meng lakini kwakuwa NEMC na TANESCO wote ni sauti moja ya CCM mkajibariki wenyewe under the aura of a go-ahead given by the dubious Environmental Impact Assesment.
Sasa saiz tena mnataka kukwepa lawama badala ya kuleta solution mnatumia...
Tume ndo inaanza kwanza.
Katiba kwa kisukuma ni voxi populi. Mbali na kukusanya maoni ya wananch lazma pia national referundum ifanyike.
Hapa ndo tume itahusika ili ijulikane ni asilimia ngap ya watu wanaikubal katba mpya.
Sasa hii tume ya sasa ipo biased.
Kuna siku nasikiliza RFA nipo na bimkubwa, ghafla ikapigwa song kama rnb flan ivi ila nikawa sielew wanaimba nin, bimkubwa akanambia ni wasukuma hao. Hongera kwao..!
katika kila kund la watu kumi kuna TISS mmoja.
Intelijensia ya socialist states iko very brutal. Nothing goes unheard, perhaps wanajua daily routine ya kila raia.
Wako kizaman sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.