Recent content by Mohammed Khatibu

  1. Mohammed Khatibu

    Tsh 1000 kwa picha ya katuni/ Superhero utakayochora

    Alieuelewa uzi anifafanulie..!
  2. Mohammed Khatibu

    Kaa kimasta kijana, hisia sio mzigo mzuri kwako

    w/o emotions we'ren't sane, emotions and intelligence goes together like two sides of a coin..! being a man means being emotionally aggressive na hapo utakuta most of us tuko na hyperactive behaviours as opposed to girls who are mostly subjective, and that is what we call feminism..!
  3. Mohammed Khatibu

    Gari yako ya kwanza ulinunua ukiwa na umri gani?

    Mi gar yakupewa niliipata nikiwa na 20yrs nilipomaliza six. Ilikuwa sedan flan automatic ya toyota sijui model gan.
  4. Mohammed Khatibu

    TANESCO: Bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP) kuhusishwa na athari za mafuriko ya Kibiti na Rufiji ni kupotosha Umma

    UNESCO na WWF waliwashaonya juu ya hili na madhara mengne meng lakini kwakuwa NEMC na TANESCO wote ni sauti moja ya CCM mkajibariki wenyewe under the aura of a go-ahead given by the dubious Environmental Impact Assesment. Sasa saiz tena mnataka kukwepa lawama badala ya kuleta solution mnatumia...
  5. Mohammed Khatibu

    Machimbo ya dhahabu bado nayadai

    Hire a geologist..! Perhaps the treasure is just 10 feet ahead..! Capital sio tatzo, ongea na insurance companies na bankers watakusaidia.
  6. Mohammed Khatibu

    Watanzania tunazidi kustarabika. Siku hizi ni ngumu sana kukuta watu wakipigana kama zamani, Tujipe hongera

    Unaish wap mkuu..! Mbona ngum zinalika sana saiz, ukienda public places we beba glock mana anything can happen..!
  7. Mohammed Khatibu

    Naomba msaada wa dawa ya panya wanaojificha kwenye gari

    Mtu anauwezo wa kujenga nyumba mpya lakin gar ananunua second hand.
  8. Mohammed Khatibu

    CCM tumefika mwisho wa kufikiri, tuwape nchi Wapinzani

    Hakuna kipya naweza sema. Vingi vimesemwa na kina frantz fanon, montesque,jeremy bentham, smith, mtikila, shivji n.k. Sikio la kufa halisikii dawa.
  9. Mohammed Khatibu

    NEC yabadilishwa jina sasa kuitwa Tume Huru ya Uchaguzi

    Tume ndo inaanza kwanza. Katiba kwa kisukuma ni voxi populi. Mbali na kukusanya maoni ya wananch lazma pia national referundum ifanyike. Hapa ndo tume itahusika ili ijulikane ni asilimia ngap ya watu wanaikubal katba mpya. Sasa hii tume ya sasa ipo biased.
  10. Mohammed Khatibu

    Nimetafuta Wimbo Wa Eid El fitri Wa kisukuma nimeukosa

    Kuna siku nasikiliza RFA nipo na bimkubwa, ghafla ikapigwa song kama rnb flan ivi ila nikawa sielew wanaimba nin, bimkubwa akanambia ni wasukuma hao. Hongera kwao..!
  11. Mohammed Khatibu

    CCM tumefika mwisho wa kufikiri, tuwape nchi Wapinzani

    Kuna chama kimoja tu, CCM..! Hapa mkitaka reforms labda aje malaika.
  12. Mohammed Khatibu

    Luambano wa Clouds FM awashauri Simba kuachana na Mo Dewji

    Nawewe ukaibeba kutuletea huku. Aliekwambia simba inatatizo la uwekezaj nan? Sio kila habari ni habari, media zingne hawazingatii credibility.
  13. Mohammed Khatibu

    Unaambiwa hao wote hapo nyuma ni usalama

    katika kila kund la watu kumi kuna TISS mmoja. Intelijensia ya socialist states iko very brutal. Nothing goes unheard, perhaps wanajua daily routine ya kila raia. Wako kizaman sana.
Back
Top Bottom