Wakuu, unakuta kijana anaishi mikoa ya kusini au kanda za pembezoni huko. Halafu anaambiwa interview aje Idodomya, logistic costs inabidi familia zijichange afu atatakiwa ahudhurie interviews kadhaa kabla ya kubahatika kupata kazi.
Kivipi hapo yani, mtu anaweza tumia millions to attend several...
As a self-proclaimed grail seeker i would like to present my report on the origin of freemasons based on ancient literarry sources (dead sea scrolls, naghamdi parchments etc);
1.masons build the solomon temple
2.Centuries later masons are invited to rc under the auspice of knight templars...
Habari wakulu..!
Dakika chache zilizopita nilikuwa napata safari zangu mbili tatu hapa sports pub...
Sasa wakati naendelea kuzibua chupa moja baada ya nyingine, akaja boss flan akiambatana pisi ya kidato kidogo wakakaa karibu yangu huku wakipata wine..
After a moment yule boss sijui alienda...
Salam wakuu.
Nimekuwa nikimpima huyu kijana wangu mara kwa mara ila nahuzunika kuona hawezi kumaster mtiririko wa masaa na kalenda.
Mfano leo nimemjaribu na mazungumzo yakawa hivi;
Mimi: "..kwanin hujaenda shule wakati leo jumapili?.."
Mtoto: "...leo ni jumatano mwalimu kasema hatuendi shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.