‎Hivi ni kwanini Chips za Dar hazina ladha?

‎Hivi ni kwanini Chips za Dar hazina ladha?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,360
Reaction score
11,588
Tokea nianze kutafuna chips za Dar sijaona utamu wowote kwa kweli. Yaani picha linaanza viazi vimeumuka halafu full mafuta kama vile unatafuna kipochi, havina ladha hata kidogo, viungo navyo vinaandaliwa kiholela holela, labda kidogo mayonaizi

‎Yaani chips za huku huwezi mdanganyia binti akakuelewa. Rejea chips za mikoa mingine kama Mbeya na Mwanza, kwanza kitu inachomwa unaskia harufu mtaa wa tatu, kitu ikiletwa mezani ikiwa na tomato pamoja na makolomboizo kibao, unaweza ukajikuta unatafuna ulimi

‎Zile chips ukishikiria mkononi halafu ukutane na toto la mtu, ni chap bin shwaaa, manyoyaaaaaaaa, shhhhhhh shhwaaaaa

‎Sielewi ni kwanini chips za Dar hazina ladha
 
Tokea nianze kutafuna chips za Dar sijaona utamu wowote kwa kweli. Yaani picha linaanza viazi vimeumuka halafu full mafuta kama vile unatafuna kipochi, havina ladha hata kidogo, viungo navyo vinaandaliwa kiholela holela, labda kidogo mayonaizi

‎Yaani chips za huku huwezi mdanganyia binti akakuelewa. Rejea chips za mikoa mingine kama Mbeya na Mwanza, kwanza kitu inachomwa unaskia harufu mtaa wa tatu, kitu ikiletwa mezani ikiwa na tomato pamoja na makolomboizo kibao, unaweza ukajikuta unatafuna ulimi

‎Zile chips ukishikiria mkononi halafu ukutane na toto la mtu, ni chap bin shwaaa, manyoyaaaaaaaa, shhhhhhh shhwaaaaa

‎Sielewi ni kwanini chips za Dar hazina ladha
Unakula chips mitaa ya Tandale na Manzese unatarajia nini!?
Umewahi kwenda restaurant yeyote kubwa hata Kisinia restaurant tu ukala viazi!?
Au nenda KFC au nenda Pizza hut kajaribu viazi vyao.
Ni international testa HUWEZI fananisha na maujinga ya Mbeya.
Unakula chipsi vichochoroni unalalamika chips za Dar mbaya!?
 
Unakula chips mitaa ya Tandale na Manzese unatarajia nini!?
Umewahi kwenda restaurant yeyote kubwa hata Kisinia restaurant tu ukala viazi!?
Au nenda KFC au nenda Pizza hut kajaribu viazi vyao.
Ni international testa HUWEZI fananisha na maujinga ya Mbeya.
Unakula chipsi vichochoroni unalalamika chips za Dar mbaya!?
Mmh... KFC tena?
Sio kweli.
 
Tokea nianze kutafuna chips za Dar sijaona utamu wowote kwa kweli. Yaani picha linaanza viazi vimeumuka halafu full mafuta kama vile unatafuna kipochi, havina ladha hata kidogo, viungo navyo vinaandaliwa kiholela holela, labda kidogo mayonaizi

‎Yaani chips za huku huwezi mdanganyia binti akakuelewa. Rejea chips za mikoa mingine kama Mbeya na Mwanza, kwanza kitu inachomwa unaskia harufu mtaa wa tatu, kitu ikiletwa mezani ikiwa na tomato pamoja na makolomboizo kibao, unaweza ukajikuta unatafuna ulimi

‎Zile chips ukishikiria mkononi halafu ukutane na toto la mtu, ni chap bin shwaaa, manyoyaaaaaaaa, shhhhhhh shhwaaaaa

‎Sielewi ni kwanini chips za Dar hazina ladha
Usiweke wingi mkuu, Za kwenu huko Ndo hawajui kupika
 
Chips za mikoani ndio mbaya wewe sema umeandika kinyume ili waluga luga wenzio wasikupopoe mawe,

Unaijua chips zege ya mpemba weweee halafu uweke na mishikaki ya nundu utupie na firigisi 😋😋😋 ngoja niagize kabisa zisije zikaisha
 
Kumbe chipsi nazo ni silaha yakumpata Binti!

Yani Binti anakukubali kisa viazi?
 
Tokea nianze kutafuna chips za Dar sijaona utamu wowote kwa kweli. Yaani picha linaanza viazi vimeumuka halafu full mafuta kama vile unatafuna kipochi, havina ladha hata kidogo, viungo navyo vinaandaliwa kiholela holela, labda kidogo mayonaizi

‎Yaani chips za huku huwezi mdanganyia binti akakuelewa. Rejea chips za mikoa mingine kama Mbeya na Mwanza, kwanza kitu inachomwa unaskia harufu mtaa wa tatu, kitu ikiletwa mezani ikiwa na tomato pamoja na makolomboizo kibao, unaweza ukajikuta unatafuna ulimi

‎Zile chips ukishikiria mkononi halafu ukutane na toto la mtu, ni chap bin shwaaa, manyoyaaaaaaaa, shhhhhhh shhwaaaaa

‎Sielewi ni kwanini chips za Dar hazina ladha
Kuna viazi vya kulishia nguruwe vinaletwaga dar ...serikali pumbavu ya samia inaangalia tu wananchi wanauziwa viazi vya kulishia mifugo
 
Tokea nianze kutafuna chips za Dar sijaona utamu wowote kwa kweli. Yaani picha linaanza viazi vimeumuka halafu full mafuta kama vile unatafuna kipochi, havina ladha hata kidogo, viungo navyo vinaandaliwa kiholela holela, labda kidogo mayonaizi

‎Yaani chips za huku huwezi mdanganyia binti akakuelewa. Rejea chips za mikoa mingine kama Mbeya na Mwanza, kwanza kitu inachomwa unaskia harufu mtaa wa tatu, kitu ikiletwa mezani ikiwa na tomato pamoja na makolomboizo kibao, unaweza ukajikuta unatafuna ulimi

‎Zile chips ukishikiria mkononi halafu ukutane na toto la mtu, ni chap bin shwaaa, manyoyaaaaaaaa, shhhhhhh shhwaaaaa

‎Sielewi ni kwanini chips za Dar hazina ladha
Si kweli ,nenda kale American Chips uone test yake ,nenda kale chips za msasani bonde la mpunga uone test zake...Chips anapika msukuma ,mhehe au mnyakyusa utegemee kuwa nzuri? Wapishi wa Chips nzuri ni wazanzibar.
 
Back
Top Bottom