YASIYOSEMWA
Member
- Jun 1, 2026
- 68
- 149
Simple observation nilioifanya Naona watu wenye maarifa kiduchu na taarifa chache juu ya ulimwengu na hekaheka zake wanafuraha kuliko wasomi na wajuvi wa mambo.
Wao masuala kama YA Vita na mashindano YA geopolitics hawana habari nayo,mambo YA ushabiki wa Mpira,Maisha mlinganisho YA mitandaoni Kwao Hayana nafasi
Kwao thamani YA MTU Ni utu na thamani YA kitu Ni kutimizwa Kwa haja.
Mfano hawatofautishi Jackdaniel na gongo ili mradi myumbo.
Katambuga na jordani vyote viatu tu Kwao.
Nyumba YA tembe na ghorofa zote Ni nyumba na usingizi Ni uleule
Wao masuala kama YA Vita na mashindano YA geopolitics hawana habari nayo,mambo YA ushabiki wa Mpira,Maisha mlinganisho YA mitandaoni Kwao Hayana nafasi
Kwao thamani YA MTU Ni utu na thamani YA kitu Ni kutimizwa Kwa haja.
Mfano hawatofautishi Jackdaniel na gongo ili mradi myumbo.
Katambuga na jordani vyote viatu tu Kwao.
Nyumba YA tembe na ghorofa zote Ni nyumba na usingizi Ni uleule