Recent content by Mohamedk

  1. M

    Mahakama yaingilia Bunge kuzuia suala la Escrow lisijadiliwe!

    Kinachonisikitisha Ni ukimya wa Mje, Rais hadi jambo linapohRibika Kwani Mje kwa nini? Hivi tunataka nini Tanzania kitokeee jamani hadi mnatutisha wananchi. Hizi Ni fedha za walipa kodi mnatupiga hadi virungu wakati wa kuchukua fedha za kodi na mnatulazimisha kutumia na mashine ili tulipe fedha...
  2. M

    Aibu nyingine kwa CHADEMA

    Duuuu Ni aibu, hiyo picha sio ya kuedit bhana sahihi kabisa. Uadilifu ziro aombe Kura km binadamu tu. Binafsi mmmhhhh
  3. M

    Wanausalama wachunguzeni wafanyakazi wa mabenki

    Hasa hizi za mijini Ni nooumaaa
  4. M

    Simu ya mke au mme

    Mimi naona Ni fahari kubwa na Ni kitu cha kujivunia kupekua cm ya mkw wangu na yeye yuko huru kuangalia yangu. Kwa nini ujifiche huko Ni kukosa uaminifu na mapendo kwa familiar yako
  5. M

    Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

    Alafu msidanganye watu nyinyi! Ukawa Ni wapotishaji. Huo Ni muungano wa kinafiki na haina Toka kwa watanzania msiwadanganye wangekuwa na nia nzuri na watanzania wasingetoka bungeni.
  6. M

    Kikwete: Walimu wenye digrii kufundisha Shule za Msingi

    Sio kila neno linamaanisha, huo Ni mpango wa muda mrefu, tatizo la watanzania mkuwa kama mto
  7. M

    Kwanini wadada wa kichaga wanadhaniwa kuwa ndio wife material?

    Binafsi siungi mkono Joha hiyo na sio sahihi, mke wangu Ni mngoni anastrugle kinshenzi
  8. M

    Majibu ya kukera unapochati na mpenzi wako

    Polesana ila Ni Kweli inakera, Poa au 'k' Aaaaa we Acha tu
  9. M

    Naomba ufafanuzi kuhusu hili

    Hapa napita tu
  10. M

    Nahitaji mke wa kuishi naye,seriously

    We hutaki mke unataka kuwagonga than uwabwage. Ungehitaji mke kikwelikweli usingetangaza hivyo. Acha hizo bhn ngoma ipo lakini!
  11. M

    Taarifa kwa Umma kuhusu upotoshwaji wa ugonjwa wa homa ya Dengue

    Pamoja na kupiga noti mnakopiga ila waelimisheni watu watambue, na hiyo miavuli mtagawa bure au nayo Ni sili? Tuwekeni waxing basi
  12. M

    Kwanini unampenda mpenzi ulienaye?

    Mi simjibu chochote Kwani nilimpenda ndio maana Niko naye, Leo kwanini aniulize kwanini nampenda si unafiki huo?
  13. M

    TANZIA Waziri wa Fedha, Dkt. Willliam Mgimwa afariki dunia!

    Poleni sana, mungu amempenda zaidi tumuombee ndio kubwa zaidi lililopo mbele yetu.
  14. M

    Mgimwa alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa gani?

    Jamani mtu amekufa mnajadili kitu gani. Muombeeni kwa mungu ampunguzie adhabu na apokelewe huko aliko basi.
Back
Top Bottom