Aibu nyingine kwa CHADEMA

Aibu nyingine kwa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Chadema kila kitu ni mabavu mpaka kukiss?
Hahahaha daaa kama ametisha!
Hila Mbowe hakutakiwa kufanya haya mbele za watoto sisi waafrika hatutendi haya mbele za watoto! Kwakweli nani amkemee mbowe kwa huu utovu wa nidhamu?
 
Mbona kawaida ulikosa cha ku post hiyo ni personal life yake na familia hamna cha ajabu hapo siasa za kibongo ni upuuzi tu na ujinga zero iq
 
Hahahaha daaa kama ametisha!
Hila Mbowe hakutakiwa kufanya haya mbele za watoto sisi waafrika hatutendi haya mbele za watoto! Kwakweli nani amkemee mbowe kwa huu utovu wa nidhamu?

Huyo ni Lilian mkewe mbona Obama anafanya
 
Tunapofanya kumbukumbu ya miaka 15 ya kifo cha baba wa taifa Mwl Julius K Nyerere tunakumbuka juhudi zake za kuhamasisha na kuhimiza uadilifu. Uadilifu ambao ni kinga ya maovu yote, uadilifu ambao ni nguzo imara na msingi wa miiko ya viongozi. Hatuwezi kuwa na uongozi bora bila kuwa na viongozi waadilifu.

Chadema ni chama kinachojibebesha taswira ya uadilifu, chama kinachoomba ridhaa kwa watanzania ili kiweze kuaminiwa kukabidhiwa serikali lakini tangu juhudi hizo zisizo na mafanikio kuanza mihongo kadhaa iliyopita bado chadema hakijaweza kufikia lengo lake na kushimdwa huko kunatokana na aina ya viongozi ambao chama hicho wanao.

Mwenyekiti wa chama ambae anapaswa kuwa dira na ndiye anayetakiwa kuset standard ya namna bora ya kufanikisha mipango ya chama anapokosa uadilifu chama hakiwezi kufanikiwa..

sina haja ya kueleza mengi, picha imebeba ujumbe kamili..hakika chadema ni janga la kitaifa.
Mtela Mwampamba hoja yako ni nini hapa?? Je ni ajabu mtu kumbusu mkewe?? au hukupenda kuonesha upendo wake kwa mkewe mbele ya watoto wake?? Hukutaka watoto waone upendo wa wazazi wao?? Bado sijajua hoja yako ni nini hasa??
 
Last edited by a moderator:
Nyakati hizi hata wezi wa simu waliokubuhu nao eti wanaweza kuichambua CDM!? Kazi kweli kweli... Hawashangai ya Charles Dankan na Waziri wa Ujangili kwakuwa wanatekeleza sera za magharibi ... Huu wivu dhidi wa Mbowe na Mkewe unatoka wapi? Mtela ulitaka upigwe wewe denda au?...
 
Mbona naona yupo na familia yake hapo, kipi cha ajabu? Vijana acheni uvuvuzela. Kama maisha nje ya chama fulani kwako hayaendi kwanini uharibu? Omba kurudi kaka manake upo kama umedata vile.
 
Aibu ni kwa ccm inayo purport kumuenzi nyerere kwa uadilifu while wamezichomoa ibara zinazosimamia tunu za uadilifu ktk rasimu ya katiba na kuweka mianya mingi ya rushwa na ufisadi.
 
Yule aliye enda nae Dubai "kucheza mechi ya mchangani" kwa kutumia pesa za uma akiiona hii picha lazima atakuwa anaumia moyoni.
 
Hivi wewe huna kazi za kufanya had I ukae na adobe Photoshop uunge unge picha,kwa hiyo pitch umelipwa sh.ngapi me siyo mfuwasi wa chadema lakini kwa hyo picha nakukataa
 
Hawa wasalka tonge walitarajia siasa itawajili!!!!
 
Mtela umeona wivu Mbowe kumbusu ama kumla Denda Mkewe ? Ulitaka uliwekwa wewe ? Huyu ni Freeman na Dr.Lilian na nyuma ni watoto wao , sasa sijui una hotmail kusema nini hasa ?
 
Hahahaha daaa kama ametisha!
Hila Mbowe hakutakiwa kufanya haya mbele za watoto sisi waafrika hatutendi haya mbele za watoto! Kwakweli nani amkemee mbowe kwa huu utovu wa nidhamu?

Mkuu Ruta nilipata kusikia fununu kuwa ndoa ya Mbowe inautata kutokana na tabia yake ya ukware.Hapo utaona anazuga mbele za watu kwa kulazimisha denda la picha.
 
Since Mtela moved to CCM he has done literary nothing for CCM except expressing his obsession with CHADEMA

Its kind of gayish
 
Duuuu Ni aibu, hiyo picha sio ya kuedit bhana sahihi kabisa. Uadilifu ziro aombe Kura km binadamu tu. Binafsi mmmhhhh
 
Mkuu Ruta nilipata kusikia fununu kuwa ndoa ya Mbowe inautata kutokana na tabia yake ya ukware.Hapo utaona anazuga mbele za watu kwa kulazimisha denda la picha.
Ulitaka uliwe wewe Denda ndio uweze kufurahi? .........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom