Sema ukweli kwa nini uampenda huyo ulienaye,je pale anapokuuliza kwa nini unanipenda mpenzi wangu,uwa unamjibu sababu za keli au uwa unaigiza kuongea yale unayohisi ukitamka yatamfurahisha?o
Mi nampenda kwa sababu ni mshkaji wangu. We can talk, laugh, cry and suffer together. Tunabishana, tunataniana, tunapigana mzinga (huu mzinga niliomdungua wa krismas lazma akamsimulie mamake hehehe), tunaelekezana na kufundishana. Yaani ni sababu kibao, kama za kunywa coca cola baridaaa.
na hii post niyazamani 2012hayo maswali ya zaman saiv hatuulizan vitendo tu vitaashiria kuna upendo ama hakuna
Aisee...loading error...
Ukishajua itakuaje?
Kwanini wewe unatuuliza kwanini?
unataka chaboooooooo?
bby wangu ni mswitiiiiiiiiiiiiiii!!!!!