Recent content by mnzagila

  1. mnzagila

    Hali ya kuogopa kisichokuwepo inanitesa. Ni mimi tu ama tupo wengi

    Hiyo kali utaogopa mpaka kivuli chako
  2. mnzagila

    Msaada wa kufika Mkuranga njia panda ya Kisere

    Panda gali zinazo enda kibiti au kimanzichana watakushusha hapo njiapanda ya kisele siyo mbali sana na mkulanga ni kama km3 kutoka mkulanga
  3. mnzagila

    USHAURI: Mdogo Wangu Amechagupangiwa Kibiti Sec. Combination Ya PCB

    Hakuna shida kwa wanafunzi mimi kila siku naenda kuchukua mihogo wanafunzi wana endelea na masomo bila shida
  4. mnzagila

    Vitu gani hutavisahau kwa mwaka huu 2016 vilivovuma

    Sakata la bunge live, naibu spika wa bunge dr tulia kung'ang'ania kiti
  5. mnzagila

    Kuweni makini na wadada wa kazi, wengine wanaua watoto ili wawe huru

    KUNA HUU UJUMBE NIMEUPATA MAHALI NIKASEMA SIO MBAYA NIKASHARE NA NYIE MARAFIKI: Kuna clip nilitumiwaga long kitambo niliifuta kuna mmama anamsichana wa kazi huyo boss ameshazaa watoto 3 kila wakifikisha miezi 2 wanafariki so akawa hana mtoto tu akakata tamaa ya kuzaa tena ila mdada wa kazi ni...
  6. mnzagila

    MO Atalipa..

    Nasikia ni viti zaidi ya 200
  7. mnzagila

    HAPA LAZIMA UKIMBIE

    Nilikutana na mshikaji wangu Tandika stendi ya mbagara, akanistua kwa nyuma akisema "malogy mathematic ndio wew? upo kaka?". Nikamjibu nipo k iongozi tunasindikiza wenye maisha yao, akacheka sana,, Mara akaanza kuzungumilzia matatizo ya familia yake, nikamwambia tuyaache hayo mim mwenzako...
  8. mnzagila

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Jamani vipi music system nahitaji kwa anaye uza
  9. mnzagila

    EWURA yashusha bei za umeme kwa watumiaji wa viwango tofauti

    Nili nunua leo service charge hakuna
  10. mnzagila

    Jabir Saleh Mtangazaji bora kabisa wa radio wa kizazi cha sasa

    Namkubali sana jabir salehe aka kuvi chaka kibonge tozi
  11. mnzagila

    Wanawake wa DARISALAMA hii hamuiwezi

    Huyu ni kijana wa dar buguluni sokoni tena ni mndengeleko
  12. mnzagila

    Tuwakumbuke waandishi wetu wa Riwaya

    Mdunguaji ninacho
Back
Top Bottom