mtemiwaWandamba
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 561
- 223
Kivumbi uwanjani, na Titus Msimbe.
Wadau, siku hizi moyo wa kusoma vitabu vya aina zote-vya Taaluma na Riwaya umepungua sana na imepelekea Watunzi wa Riwaya kutoandika tena vitabu. Leo nawakumbuka baadhi ya Waandishi/ Watunzi wa Riwaya wa Tanzania.
Hamie Rajab
1. Miujiza ya Mlima Kolelo
2. Dunia Hadaa
S.M.Bawji
1. Usiku wa Blaa
2. Kisiwa cha Mayuku
Kuna maduka ya vitabu hapo posta mtaa samora kwenye mzunguko wa sanamu ya Bismin karibu na benki ya posta. nemulo
Hiki nakitafuta sana lakini huwa sikipati.Mdunguaji
mkuu nakitafuta hiki kitabu kwa muda mrefu sijafanikiwa kukipata, wapi naweza kukipata. ?.... KIJASHO CHEMBAMBA ! ................... Eddi Ganzel
Nenda facebok search jina la hussein tuwa (mwandishi) wasiliana nae utakipata tuuHiki nakitafuta sana lakini huwa sikipati.
mkuu unavipata wapi hivi vitabu.?Dah! nafurahi jitihada zangu za kukusanya vitabu inazidi kufanikiwa.
baada ya kuipata vitabu vya alfu lela ulela cha kwanza hadi cha nane, vya Shafi A. Shafi vitano, Shaabani Robert sita, Allan Quarterman viwili, Ben mtobwa Saba, juzi kati nimepata Unyama wa Mafia cha Zahir Ally Zorro, Jamaa hodari kisiwani, kisiwa cha hazina, safari za gulivers, oliver twist, na kubwa lao NJAMA cha marehemu A.E. Musiba.
bado navisaka na kununua. maktaba yangu inazidi kunawiri.
NimeshakipataNenda facebok search jina la hussein tuwa (mwandishi) wasiliana nae utakipata tuu
Tafuta kwa wachapishaji wanaitwa 'mkuki na nyota' !mkuu nakitafuta hiki kitabu kwa muda mrefu sijafanikiwa kukipata, wapi naweza kukipata. ?
shukran mkuu,mkuki na nyota wanajitahidi sana kurejesha vitabu sokoniTafuta kwa wachapishaji wanaitwa 'mkuki na nyota' !