Wanawake wa DARISALAMA hii hamuiwezi

Wanawake wa DARISALAMA hii hamuiwezi

Mmmh unawasema wanawake wa dsm wakat wanaume wenyew hawawezi.
Washamba utawajua tu sasa karne hii watu mnajisifia kubeba tani za mahindi sasa punda abebe nini .......sana sana hapo naona dalili za umaskini wa nyenzo na akili pia.
 
1918959_1474751165872630_6278280398283751384_n.jpg


Wanaume wa Dar wavivu sana kazi yao umbea
 
Tunataka usawa! Watu wakafikiria ni viti maalum bungeni. Huo ndio usawa
 
Huyu ni kijana wa dar buguluni sokoni tena ni mndengeleko
 

Attachments

  • 1459359598512.jpg
    1459359598512.jpg
    36.8 KB · Views: 31
Back
Top Bottom