Recent content by mnegro wbs

  1. mnegro wbs

    mnipokee

    Habar ndugu zangu, mm ni mgeni huku hivyo nawaomba mnipokee
  2. mnegro wbs

    Serikali 2 ni ghali kuliko serikali 3, Ushahidi huu hapa

    Kwl kuna watu ni wagum kuelewa na ni hawa wakiingia mjengoni kwa khanga na kofia hubaki kushangilia kila kitu. Ni kipi hakieleweki hapa juu ya serikal mbl au tatu? Kwa mwenye hekima atafikiria, je, tumepata uhuru lini? Na je tulipata nafuu kupitia serikali mbili? Sasa unafuu utatoka wap sasa kwa...
  3. mnegro wbs

    Edwin Mtei asikitishwa na alaani kitendo cha Tundu Lissu kumtukana Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere

    Kuna mpotoshaji mwingine hapa eti kaandika habar ya fimbo ya nyerere n malechela, kibaya zaidi kanukuu hadi mazungumzo, uongo na upotoshaji, watu kama hawa wahamie fb au whatsap tu. Way
  4. mnegro wbs

    Hivi inawezekana jeshi limevaa koti la serikali mbili??

    Siku jesh likiingia ikulu ndo utajua maana ya ulichoandika. Wewe umeona hayo ni mazito kwa jesh kuingilia basi ujue hayo ni mepes sana. Na usiombe ifike huo wkat
  5. mnegro wbs

    Je wewe na mwenzio mnalalaje....? angalia...

    Kuna styl za ajab jaman wapenz wakilala, zingewekwa zote hapo ingekuwa balaa
  6. mnegro wbs

    CCM walibadilishwa na kardinali pengo - serikali 2

    Kuna kijana kaandika uwongo, tena analaghai wa tz, kaka acha uwongo na ukirudia ntakutaja. Nyerere hakuwai kuitawala tz kwa miongozo ya vatikan, na kama angefanya hivo basi angehalalisha udini hapa nchini na kumbuka alikuwa charismatic leader hii inamaanisha wengi wangemwamini na tusingekuwa na...
  7. mnegro wbs

    Hawa wanawake wako dunia ipi?

    We all tok abt wht we thnk we deserv not wht we hav. Perfectn is a word that cand b perfct, its an illusion as it is a mere conspiracy theory. Kila mtu, mwanaume au mwanamke ukimuuliza ni mpenzi wa namna gani ambaye angependa ampate ili aridhke utashangaa majibu yao, weng watakupa sifa ambazo...
  8. mnegro wbs

    Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

    Lisu amejenga hoja ambayo hata mimi siwezi kuupinga, ila ukweli utabaki palepale, kila mwanasiasa ni muuaji, muongo, mnafiki, fedhuli na mbinafsi. Utofauti ni kuwa inategemea vyote hivo anavifanya kwa maslahi ya nani. Leo hii huwezi kumtukana hitler ukiwa ujerumani kwani to them he was a...
  9. mnegro wbs

    6 golden rules for ladies!!!

    Eti avue pale tu akishaolewa, hahahahahaha, nani huyo? These rules were VALID in 15 th century bt nw they are VOID. Hta wanawake wanaojielewa hawez kukubal kuolewa na mwanaume bile kupima kina cha maji
  10. mnegro wbs

    Mabinti wenye pua ndefu

    Mambo ya muvi kweli makubwa. Hahaha, haya bwNa. Kwa wasioelewa basi waangalie 3 ------ ndo mtajua mada nyingne humu ni kanjanja tu
  11. mnegro wbs

    Story ya kweli: Niliwahi kutembea na wasichana hawa

    Usijali kijana uko salama, we kapime tu uwe na uhakika koz naelewa style ya mapenzi kwa mtu kama wewe, huwa ni yale ya kuku, just seconds. So be happy ila as long as umejitambimua sasa UKOME NA UKOMAE.
  12. mnegro wbs

    Kwanini wanawake tunaojimudu tunaogopeka?

    Skillionare. Asante sana kwa kunikumbusha ishu ya Attraction. Siamini kuwa kuna mwanaume anayemuogopa mwanamke eti kwasababu ana mali. Kitu cha kwanza ambacho huwa kinatukwaza ni kugundua kuwa mali alizonazo mwanamke ni za mwanaume mwingine. Hnestly hapo mambo hayaend, hata kama utampendaje...
  13. mnegro wbs

    Zima Moto Updates

    Jina Laurent,mwenye majina anisaidie jamani
Back
Top Bottom