CCM walibadilishwa na kardinali pengo - serikali 2

CCM walibadilishwa na kardinali pengo - serikali 2

Status
Not open for further replies.
we utakua mgonjwa wa akili sio bure
eti mkatoliki ng'eng'eng'eeeeee,shutuuuuu,kaogeeeee
pengo ameshika mtu miguu au mikono aukashika akili za watu?
uchonganishi tu hamchokiiiiii?kutafuta wakatoliki kila kukicha nyoooh!!
 
Mimi ni mkristo mkatoliki nalijua kanisa langu kwa undani kabisa. Masimamo wa kuipinga tume ya WARIOBA ni shinikizo la KARDINALI Pengo kwa maslahi ya kanisa katoliki huko Zanzibar. Ni kweli matukio mabaya yamefanyika na serikali ya CCM kushindwa kuyashughulikia na hata kutoa majibu. Kumekuwa na juhudi ZA kuidhibiti zaidi Zanzibar. Tukumbuke JK alishawambia CCM wajiandae kisaikolojia kupokea serikali 3 na kusaini rasimu zote. Mnajiuliza maswali nini kimetokea na Watu kubadilika ghafla hata wale waliokuja pamoja mfano wajumbe wenye nguvu wa Zanzibar ? Nawapa jibu hapo. Binafsi nimewaelimisha viongozi wangu wa dini falsafa ya ukristu ya kwenda pole pole kama alivyoshauri Gamaliel kwenye kitabu cha matendo ya mitume. Kuikandamiza Zanzibar sio kuimarisha ukristu . Kama alivyolia LYatonga MRema 2005 kwa KIlaini na Mimi nalia Leo kwa Askofu wangu KARDINALI Pengo. Umeiharibu Tanzania. Amani kwanza serikali baadae.

Hakuna mkatoliki atakayetamka mkrisTO hapo umechemka na uchochezi wako
 
Ni nadra sana kumpata mkatoliki mwenye uwezo mdogo wa kuandika kama wewe ulivyofanya ndani ya hoja hii. Kwa ajili hii natupilia mbali hoja yako
 
Hulazimishwi kuamini hili ila mark ma words.kama LUkuvi anavyoamini nimetoa chanzo cha ugeugeu wa wajumbe wengi ndani ya BMLK. Kutokana na opofu wa Imani za kidini tutapuuza. Tulionao nchi jirani. Kama huamini BASI tuseme pamoja na wewe ' Amani kwanza dini na serikali baadae'.
 
Mimi ni mkristo mkatoliki nalijua kanisa langu kwa undani kabisa. Masimamo wa kuipinga tume ya WARIOBA ni shinikizo la KARDINALI Pengo kwa maslahi ya kanisa katoliki huko Zanzibar. Ni kweli matukio mabaya yamefanyika na serikali ya CCM kushindwa kuyashughulikia na hata kutoa majibu. Kumekuwa na juhudi ZA kuidhibiti zaidi Zanzibar. Tukumbuke JK alishawambia CCM wajiandae kisaikolojia kupokea serikali 3 na kusaini rasimu zote. Mnajiuliza maswali nini kimetokea na Watu kubadilika ghafla hata wale waliokuja pamoja mfano wajumbe wenye nguvu wa Zanzibar ? Nawapa jibu hapo. Binafsi nimewaelimisha viongozi wangu wa dini falsafa ya ukristu ya kwenda pole pole kama alivyoshauri Gamaliel kwenye kitabu cha matendo ya mitume. Kuikandamiza Zanzibar sio kuimarisha ukristu . Kama alivyolia LYatonga MRema 2005 kwa KIlaini na Mimi nalia Leo kwa Askofu wangu KARDINALI Pengo. Umeiharibu Tanzania. Amani kwanza serikali baadae.

Jina lako halisi ni Ahmed Rashid. Mkatoliki wa karne mpya!
 
Yanmkini hapo kuna ukweli. Binafsi sikufulahishwa na kuweka wazi msimamo wake. Na kwa kuwa yeye ni kiongozi mkuu wa dini na dini kubwa, kama ilivyo sentesi inayotolewa na Mh Rahis mahali popote pale haijalishi ni mahali gani, kichama au serikali, inachukuliwa kama agizo kwa watu walioko chini yake. Kwa mantiki hiyo hiyo na kwa vyovyote vile tamko la Kadinali Pengo na lilivyotangazwa na vituo mbali mbali vya habari, msimamo wake yamkini ulitafsiriwa na serikali kama ni tamko la kanisa.
 
Kuna kijana kaandika uwongo, tena analaghai wa tz, kaka acha uwongo na ukirudia ntakutaja. Nyerere hakuwai kuitawala tz kwa miongozo ya vatikan, na kama angefanya hivo basi angehalalisha udini hapa nchini na kumbuka alikuwa charismatic leader hii inamaanisha wengi wangemwamini na tusingekuwa na tz kama hii ambayo ukiongelea udini watu wanakushangaa. Uwongo wako wa pili ni juu ya fimbo ya Nyerere, si kwel kuwa aliitoa vatican, eti kwasabab maaskof wana fimbo unadhan ndo mana naye alikuw nayo? Ungejua maana ya fimbo ya maaskof usingelaghai hapa. Ile fimbo ya baba wa taifa Haikuw symbol ya ukristo wake, ni fimbo aliyopewa na Mloka wa Waluguru huko mkoani morogoro, wilaya ya moro vijijini kijiji cha matombo katika mizimu ya Kolero kama sign ya kukubalika na wazee wa mkoa huo kama chifu wao na pia kama protection. Usidanganye tena
 
Mimi ni mkristo mkatoliki nalijua kanisa langu kwa undani kabisa. Masimamo wa kuipinga tume ya WARIOBA ni shinikizo la KARDINALI Pengo kwa maslahi ya kanisa katoliki huko Zanzibar. Ni kweli matukio mabaya yamefanyika na serikali ya CCM kushindwa kuyashughulikia na hata kutoa majibu. Kumekuwa na juhudi ZA kuidhibiti zaidi Zanzibar. Tukumbuke JK alishawambia CCM wajiandae kisaikolojia kupokea serikali 3 na kusaini rasimu zote. Mnajiuliza maswali nini kimetokea na Watu kubadilika ghafla hata wale waliokuja pamoja mfano wajumbe wenye nguvu wa Zanzibar ? Nawapa jibu hapo. Binafsi nimewaelimisha viongozi wangu wa dini falsafa ya ukristu ya kwenda pole pole kama alivyoshauri Gamaliel kwenye kitabu cha matendo ya mitume. Kuikandamiza Zanzibar sio kuimarisha ukristu . Kama alivyolia LYatonga MRema 2005 kwa KIlaini na Mimi nalia Leo kwa Askofu wangu KARDINALI Pengo. Umeiharibu Tanzania. Amani kwanza serikali baadae.


Mtawatambua kwa matendo yao, WANAFIKI utawajua tu. Ni heri Uwe Baridi au Moto na si vuguvugu.

"wewe ni 'fisi' kweli, muda unaanzisha badiko (thread) hili' WAKATOLIKI wa kweli walikuwa kwenye Ibada ya Misa ya Alhamisi Kuu, 'wewe mkatoliki bandia' huko hapa JF.
"ni rahisi sana kuwatambua MBWA MWITU"
 
Mtatafuta majibu ya kutetea Imani hasa katoliki na sio hoja. Mimi ni mkatoliki kuliko wote mnaobwabwaja hapa nasali misa ya kwanza udsm Mara nyingi huongozwa na Fr. Henry RImisho. Na. Paroko wangu monsinyori Mbiku mpo hapo. Narudi kwenye hoja. Rwanda ilianzaje hivi hivi. Waliosema wakasema wakapuuzwa nilijua na haya pia. Mlimsikia mufti baada ya rasimu kuwa tayari kwenda bungeni akasema anapendekeza serikali ngapi? Acheni Mahaba ya Imani mkasahau shina la imani ni Amani. Mmoja hapo juu Hajui kristo na kristu yote ni ya Kiswahili yanatokana na Neno Christ iliyotakana na Neno christos la kigiriki maana yake annointed. Naifahamu dini yangu na misingi yake. Tusitetee hapa Imani Bali Amani.
 
Kuna watu mnaicheza amani ya wananchi kwa njia zozote kwa sababu ya kutaka kutimiza malengo yenu maovu.

Mnadhani kuwagawa Watanzania ndiyo kutawafanya mpewe kura au ikishindikana basi mtawale kwa ncha ya upanga.

Haitatokea kwa sababu watanzania wanazipuuza hizi agenda zenu.

Maneno haya ungemueleza LUKUVI na wafuasi wake ningekuelewa.
 
Pengo nae aachane na mambo ya siasa bhana yeye ni chanzo.kama ameshindwa kuchunga mapadre wake aende zake huko kwao.mimi nimkatoliki pure.
kard.Pengo anachokipigania haswa ni amani na mshikamano miongoni mwa watanzania..unaposema aende zake huko kwao wapi!!? 2mia busara mkuu!!
 
Yanmkini hapo kuna ukweli. Binafsi sikufulahishwa na kuweka wazi msimamo wake. Na kwa kuwa yeye ni kiongozi mkuu wa dini na dini kubwa, kama ilivyo sentesi inayotolewa na Mh Rahis mahali popote pale haijalishi ni mahali gani, kichama au serikali, inachukuliwa kama agizo kwa watu walioko chini yake. Kwa mantiki hiyo hiyo na kwa vyovyote vile tamko la Kadinali Pengo na lilivyotangazwa na vituo mbali mbali vya habari, msimamo wake yamkini ulitafsiriwa na serikali kama ni tamko la kanisa.

Ulitaka asiongee ilhali ni haki yake ya kimsingi, na hajavunja katiba ya nchi? Acha mahaba weye... na ukumbuke kila kundi au taasisi inatetea maslahi yake. Na kama kanisa katoliki litakua lina maslahi ya kweli na aina hii ya muungano basi lina kila sababu ya kuupigania muundo huu uliopo.
Au hujui kama maisha ni vita, na kila mtu au kundi wana kila sababu ya kujihami? Kijana acha utoto ishi kwa kufikiri kama mtu na sio mnyama(panya)
 
Wakatolic ni ma empire makubwa. Mambo ya ujasus wanayajua sana. Hiyo ndo sera yao. Mm ni mkristu nawajua sana. Hilo linalosemwa lipo ndo mana wenzetu waisilamu kila ckuhulia na mfumo kristo. Na hii itakuwa ivo daima. Mfumo kristo ndo upodunian nw so ni kweli lisemwalo.
Toa ushahidi kwa hili linalosemwa....
 
Wakatolic ni ma empire makubwa. Mambo ya ujasus wanayajua sana. Hiyo ndo sera yao. Mm ni mkristu nawajua sana. Hilo linalosemwa lipo ndo mana wenzetu waisilamu kila ckuhulia na mfumo kristo. Na hii itakuwa ivo daima. Mfumo kristo ndo upodunian nw so ni kweli lisemwalo.

Hebu wacha upunguani wa kujivika Ukristu wewe haramu....Huna hadhi ya kuwa mkristu....
 
we utakua mgonjwa wa akili sio bure
eti mkatoliki ng'eng'eng'eeeeee,shutuuuuu,kaogeeeee
pengo ameshika mtu miguu au mikono aukashika akili za watu?
uchonganishi tu hamchokiiiiii?kutafuta wakatoliki kila kukicha nyoooh!!

Wameishwa hao...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom