mnegro wbs
Member
- Jan 17, 2012
- 52
- 16
Skillionare. Asante sana kwa kunikumbusha ishu ya Attraction. Siamini kuwa kuna mwanaume anayemuogopa mwanamke eti kwasababu ana mali. Kitu cha kwanza ambacho huwa kinatukwaza ni kugundua kuwa mali alizonazo mwanamke ni za mwanaume mwingine. Hnestly hapo mambo hayaend, hata kama utampendaje mwanaume haitosaidia kwani kwa mwanaume anayejielewa hawezi kukaa hapo na akiondoka mwanamke huona kama anaogopwa, la hasha, ni kwasababu mwanamke mwenye mali za kuhongwa huwa na kiburi. Mwanamke anayejielewa haachwi kwani hujua namna ya kuhandle mambo yake. So kwa wadada mnaoishi kwa kuhongwa mjue kuwa mtaishia kutumiwa hadi basi.
Last edited by a moderator: