Oooh poor me[emoji32][emoji32]
Wakt kuna watu wanaumizwa na hali inayoendlea , watu wanapondeka miyoyo. Kuna mtu bado machoni pake anaona hali iko sawa kabsaa na ni raha kwake!
Kweli bnadamu tumeumbwa tfaut ila chungza wayalalamikayo nduguzo na ujiulize n kwann.
Hakuna asyepends mema yamjie...
Ndyo mana watu waliosoma ni wagumu kufankiwa kwasabbu they tend to b much analytical and less risk takers! Lkn kwa mtu ambae hajasoma sana na hana ujuaji mwingi anatake risk na akiivuka risk anakua amefankiwa na most of the tym hachoki akiloose atarudia tena kwa kurekebsha kasoro zake za mara ya...
*D.A.B huko aliko saivi nadhani atakuwa kafungulia redio hadi mwisho akisikiliza ule wimbo unaosema "Nina baba yangu asiyeshindwa kamwe* [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naombeni msaada wenu kimawazo. Cheti changu cha kuzaliwa kina jina tofauti na vyeti vyangu vyote vya shule kuanzia S/m had form six ( Hivi vina majina sawa isipokuwa vinatofautiana na kile cha kuzaliwa!)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.