Ifanye simu yako kuwa private daima

Ifanye simu yako kuwa private daima

Kama jamaa anachoongea ni kweli.hii kitu ni kwa wale wa tecno(mediatek)
Screenshot_20170326-081552.png
Screenshot_20170326-081515.png
Screenshot_20170326-080905.png
Screenshot_20170326-080838.png
Screenshot_20170326-080336.png

Try at ure own risk
 
Ukisha intall mtk engineer mode igungue ingia kweny simme lock kisha utaingia kweny sm personalization...... Utaingia kweny sehem pameandikwa add bhas apo ndo utaweka password zako na utalock sm yako kwa upande wa line
 
Narudia tena, simu ambayo haifunguki ikilokiwa ni Iphone pekee, hizo nyengine ni mavi ya kuku, msidanganyane, na mtoa mada ukiendelea kudanganya watu nitakufunga
 
Narudia tena, simu ambayo haifunguki ikilokiwa ni Iphone pekee, hizo nyengine ni mavi ya kuku, msidanganyane, na mtoa mada ukiendelea kudanganya watu nitakufunga
mi nimiongoni mwa ninaotumia sm ambayo nimelock na nimeshafanya mbinu kazaa kama kurestore ama kuflash lakin bado inaitaj password
 
Nimeflash sm yangu tena kwa volcano box! Ili kujiaminisha zaid
Nimeirestore sm ili kupata uwakika zaidi ila ikawa strong
Ukisha intall kweny sm yako na ukaweka simme lock ukilifuta tu lile file simme lock inabak kama system app
Na haionekan ni sawa unavozungumzia mtk ya sm flan program inayofanya kaz pasipo kuonekana
Na ukisha futa tu bhas uwez kutoa lock ata kama ni ww mwenyewe mpaka uinstall tena kisha unaenda kuclear permanent
Huzur ni kwamba mtu yeyote awez tumia sm yako kwa kuingiza line yake

Hiz ama ni snapshot baada ya kurestore sm saiv na kueka chp nyingine ila haikusoma kwasabb skueka password
f3d60245a1588229fe24710fdbffea34.jpg
 
941bbd9b8cee864c358190d83c867939.jpg


Na huu ndo muonekano baada ya sm kutoeka password akupandisha mtandao
Sana sana utaplay game na kuskiliza miziki

Ingawa unauwezo pia wakufanya mtu asifanye chochote endapo atabadili line ata kupiga picha
Hakuna lisilowezekana nimekuwa nikiifurahia huduma hii sawa sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom