Recent content by mlukosi

  1. mlukosi

    Msaada: Mfumo wa vyoo vya kisasa ukoje na una changamoto gani?

    Hapa ndipo penye changamoto, kutambua aina ipi ya hizo ndio yenye kufaa. Wewe ni fu di au mtumiaji wa aina ya hivyo vyoo. Natamaninkujua zaidi juu ya hivi vyoo
  2. mlukosi

    Madhara ya kutokujua hesabu yaanza kujianika

    Bank of Tanzania (BOT): Home Page : Benki Kuu ya Tanzania
  3. mlukosi

    Nauza mashine ya kumenya viazi.

    bado unazo?
  4. mlukosi

    Viungo vya mwili kufa ganzi: Elewa Chanzo, Tiba na mambo muhimu ya kuzingatia

    @JOJONEXT, Nashukuru sana kwa ushauri wako mkuu. Nitamuanzisha program ya mazoezi pia.
  5. mlukosi

    Uyoga unapatikana bei nafuu

    2000 kwa ujazo wa gram 100 mkavu Mbichi 10,000 kwa kilo @babilas25 nimewasiliana na mwenye uyoga...bei zake wala si kama ulivoonyesha...1kg ya mkavu ni 60,000TZS, mbich hauzi kwa kipimo cha kilo,bali 10,000tzs ni kwa gm120. tutafika lakni....
  6. mlukosi

    Uyoga unapatikana bei nafuu

    Bei zako tafadhali
  7. mlukosi

    Mwanamke raia wa China azirai baada ya kuvunja bangili ya dola 44,000

    Only in CHINA....hehehe...mh...kwa gharama hiyo ni lazima ingekuwa na warranty...hata kama ni kito iweje iwe ni rahisi kuharibika hivo...hahahhaha.....ndio maana imebaki kuwa trending news.... Business is Business...kama hiyo ndio price tag yake HAMNA NAMNA....
  8. mlukosi

    Naomba kujuzwa namna ya kuset simu ambayo kila nikipigiwa inapokea yenyewe

    kila simu inanamna yake...aina na model ya simu ingerahisisha....zingine accessories husaidia kufanikisha Androids: Follow the steps below: From the Home screen touch Apps. Touch Phone. Touch Menu. Select Settings. Select Call. Select Call Accessories. Touch the checkbox next to "Automatic...
  9. mlukosi

    Eric Omond kaishiwa kwenye stand up comedy

    jamaa alikuwa Mzuri lakni hatunae tena, alifariki kwa ajari ya gari...
  10. mlukosi

    Nyakahura Secondary School - msaada Contact Address

    Ninatazama acsee results zao zinaridhisha.... Ttzo hasa hapo ni lipi!?
  11. mlukosi

    Nyakahura Secondary School - msaada Contact Address

    nashukuru sana , form uloambatanisha imeniwezesha kumpata Head Teacher na kasema Joining instructions ni hadi wiki ijayo,,,,ingawa mabadiliko yakuwa kwenye gharama zaidi kwa ufupi....ahsanteni sana
  12. mlukosi

    Nyakahura Secondary School - msaada Contact Address

    Habari za leo jamani. ninahitaji msaada wa mawasiliano ya moja kwa moja wa shule ya Nyakahura Secondary. kijana wangu kachaguliwa huko.
  13. mlukosi

    Misemo ya BONGE WA CLOUDS FM akimaliza!!!

    Bubu hutegemea ishara kuongea.... Anahitaji mwanga ili ishara zake zitambulike....
Back
Top Bottom