Recent content by MLONDWE

  1. MLONDWE

    UKAWA hali tete

    Hiyo receipt uki angalia hapo mwisho kushoto kwenye tarehe inaonekana nimwaka 2012 ndo imesainiwa? Mtoa maada acha kutudanganya kama wote watoto wadogo
  2. MLONDWE

    Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    Hawa mpower hawaifikii kampuni ya mobisol tembelea www.plugintheworld.com, jamaa wako vizuri mitambo yao inadumu kwa mda mrefu sana. Pia wanatoa huduma after sales, mantanence services na gurantee ni miaka mitatu na ukilipa kwa miaka mitatu mtambo unakua wako. Namba zao ni 0768-984700
  3. MLONDWE

    Kwanini wanaume wabinafsi when it comes to sex

    Miss chaga njoo pm baby, i love u umekuwa muwazi
  4. MLONDWE

    Mapenzi haya yatanishinda

    Mwallu baby mbona hunielewi jamani? Niliku pm lakini kimya why?
  5. MLONDWE

    Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

    Baby Mwallu mimi nimekuzimia jamani
  6. MLONDWE

    Zawadi Nono kwa atakayesema hii picha ilipigwa wapi

    Dodoma kibaigwa
  7. MLONDWE

    Mnaotaka nafasi za ubunge kupitia CHADEMA mmeisoma hii?

    Kapi mojawapo ni Shibuda ambalo ni mzigo kwa chama
  8. MLONDWE

    Zitto Kabwe Adai kwa Kiapo Hana Majina ya Wenye Akaunti Uswisi - AG

    Msigwa mbunge 0754360996 na mwigulu nchemba 0756008888
  9. MLONDWE

    Mtoto wa mbunge anataka kuvunja ndoa yangu, nifanyaje jamani!

    Huyu jamaa ana ka story kama kakwangu hivi. Kweli kipindi cha kuoa hua ni kigumu sana, kwani majaribu yanakuja kwa wingi hata sijui nifanyaje
  10. MLONDWE

    Prof. Kapuya atishia kuishitaki JamiiForums...

    Yaleyale anasemaga mbunge Msigwa kwamba maprofesa wa ccm wakichangia hawana tofauti na mtoto wa darasa la pili, sasa kapuya kajitetea nini hapo. Shame on him
  11. MLONDWE

    Nape vs Lowassa

    Jamani ningependa kumwuliza swali moja tu ndugu yangu Nape Nnauye, 2015 Mh Edward Ngoyai Lowassa atakavyokuwa Rais wa Tanganyika bwana Nape ataficha wapi sura na mwili wake? hii ni kutoka na matusi ambayo amekuwa akimtukana mara Lowasa ni gamba mara ni fisidi n.k. nisaidieni jamani.
  12. MLONDWE

    Mnyika Vs Nape mahojiano ITV, nani anaeonyesha siasa yenye majibu ya changamoto zetu

    u ar wrong my friend, kama umeangalia Nape kaongea nini cha maana? kwani mimi nimefuatilia tangu mjadala wa awamu ya kwanza, kiukweli nape kafunikwa mbaya,
  13. MLONDWE

    Pata DSTV Full Package kwa 200,000/= Kwa mwaka

    nipo dar nakupataje? call me 0778-833211
  14. MLONDWE

    10 reasons you’re not rich yet

    10 REASONS YOU’RE NOT RICH YET As a financial advisor, I have spent many years helping other people overcome financial stumbling blocks so they can become rich. Ironically, the one person I have had the most trouble helping is myself. Being “rich” can mean different things to different...
  15. MLONDWE

    RAIA MWEMA: Ya ‘Papii Kocha’ na tweets za Nyalandu, Januari, Kikwete!

    ukweli ni kwamba MZEE WA KAYA ndie aliyewafunga na ndio maana kila siku wanamuomba yeye awaachie. walitembea na salma kikwete enzi hizo kwahiyo analipiza kisasi
Back
Top Bottom