Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,556
- 4,162
Kuna jamaa alniambia kuhusu hii kitu..... Sikumwelewa..... Alsema hawana panel wala nn.... Wao ni ka mashine tu... Nikamuuliza source ya umeme inatoka wapi...akashindwa kunijibu......
Any way.... Kwangu mm nkiwa na hiyo ni hasara .... Kwan nkinunua panel ya watts 100 batri na invertor... Haizid lk6 na hapo natumia for life.... Haina masharti...
Any way.... Kwangu mm nkiwa na hiyo ni hasara .... Kwan nkinunua panel ya watts 100 batri na invertor... Haizid lk6 na hapo natumia for life.... Haina masharti...