Pole sana dada....Niseme wazi wewe ni kati ya wadada ninaowakubali JF hasa ninaposoma comments zako kwenye forums mbalimbali na nimegundua you are so smart, intelligent, unajiamini , focused, decent and ol dat but changamoto kwa wanawake wa type yako kudumu kwenye relations ni nadra sana coz...
Mkuu Sauli alikiri kulitesa kanisa la Kristo na akakubali kuokoka...Point ya Slaa ipo palepale kuwa Lowassa ajisafishe!!! Tatizo binadamu hawapendi kuambiwa ukweli..Dr Slaa kaongea ukweli mchungu ambao wanaukawa wengi hawataki kuukubali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.