Kabla hujaanza kumsaka mke mwema, make sure na wewe ni "Mume mwema", kwa sababu tumeambiwa Mungu anakupa mtu wa kufanana na wewe.
Kinachofuata ni maombi. Kwa kuomba unamaanisha kuwa unahitaji msaada kwa Mungu, wewe Peke yako huwezi kufanya chaguo sahihi. Mungu atakudirect upite wapi ili ukutane na mke mwema na utakapokutana naye utambuaje kuwa huyu ndiye
Unaingia kumsaka sasa, na kwa muongozo wa Mungu Ukikutana naye utamjua tu huyu ndiye. Tatizo letu wengi ni kwamba tunajichagulia mtu either kwa tamaa zetu afu unaanza kujisikilizisha sauti yako wewe mwenyewe ikisema "huyu ndiye", na sio sauti ya Mungu. Mwisho wa siku maumivu tuuu
N:B
Wema" wa mke ndiyo nguzo ya sifa nyingine zote za mke. Ndo maana imeandikwa "mke mwema ni nani awezaye kumwona" Mithali 31 :10- 31 imemuelezea vizuri sana mke mwema. "Wema" ni universal then vifate uzuri, rangi, height, figure, kabila etc kwa sababu hivi vyote ni subjective kutegemea na muhusika.
Then Kila mwanamke ni mke, but sio kila mke ni mke wako, so Mungu akuongoze kumchagua yule wa kwako