Mke mwema: Tunamsubiria au tunamtafuta

Mke mwema: Tunamsubiria au tunamtafuta

Hahah mahubiri ya kanisani leo umeyahamishia huku,,,! Ni hivi mwanaume anapaswa amuombe Mungu kwa kadri awezavyo ili apatiwe mke mwema utambue kuwa unapoomba MUNGU na shetani nae hufanya kazi yake ya kukutegeshea wanawake wanao ng'aa kwa nje na kuambulia uozo ndani,,.. Swala la kutafuta ni muhimu sana na unapaswa utulize macho na akili kwakuto wazia umbo, rangi, sura elimu, pesa / mali.
 
Kizuri ni kile ulichokifanyia jitihada. Mungu nisaidie sawa lakini na wewe inabidi ujisaidie kwa kujitahidi kutafuta pia. Adam hakuletewa tu, baada ya kuwa peke yake kwa miaka kibao, akaomba kupata msaidizi ndiyo akaletewa Hawa. Lakini angekaa kimya angepelekwa "neutral" mpaka leo.
Mkuu ukisoma vizuri maandiko ni Mungu ndiye aliyeona Adamu anahitaji msaidizi kabla....
 
Kabla hujaanza kumsaka mke mwema, make sure na wewe ni "Mume mwema", kwa sababu tumeambiwa Mungu anakupa mtu wa kufanana na wewe.

Kinachofuata ni maombi. Kwa kuomba unamaanisha kuwa unahitaji msaada kwa Mungu, wewe Peke yako huwezi kufanya chaguo sahihi. Mungu atakudirect upite wapi ili ukutane na mke mwema na utakapokutana naye utambuaje kuwa huyu ndiye

Unaingia kumsaka sasa, na kwa muongozo wa Mungu Ukikutana naye utamjua tu huyu ndiye. Tatizo letu wengi ni kwamba tunajichagulia mtu either kwa tamaa zetu afu unaanza kujisikilizisha sauti yako wewe mwenyewe ikisema "huyu ndiye", na sio sauti ya Mungu. Mwisho wa siku maumivu tuuu

N:B
Wema" wa mke ndiyo nguzo ya sifa nyingine zote za mke. Ndo maana imeandikwa "mke mwema ni nani awezaye kumwona" Mithali 31 :10- 31 imemuelezea vizuri sana mke mwema. "Wema" ni universal then vifate uzuri, rangi, height, figure, kabila etc kwa sababu hivi vyote ni subjective kutegemea na muhusika.
Then Kila mwanamke ni mke, but sio kila mke ni mke wako, so Mungu akuongoze kumchagua yule wa kwako

Heaven Sent, ur very correct and I do agree with you 100%!!!
 
Penye miti, hapana wajenzi!

Kusubiri au kuhangaika kutafuta mke aliye bora kunatofautiana na uelewa wa mtu.

Ukiangalia bibilia uliyosema, mfano Musa, ilimbidi ahangaike na kufanya kazi kwa miaka 14,kupata mke aliyempenda na mwema.

Wengine kama Yusufu, aliletewa mke mwema (mariam) na Mungu hivyo hakuhangaika.

Mke mwema anatoka kwa Mungu lakini sio kanisani, msikitini, wala hekaluni. Hapatikani vilabuni, disco, au madanguroni!

Cha msingi ni kumpata umpendaye na akupendaye pia.
 
Kabla hujaanza kumsaka mke mwema, make sure na wewe ni "Mume mwema", kwa sababu tumeambiwa Mungu anakupa mtu wa kufanana na wewe.

Kinachofuata ni maombi. Kwa kuomba unamaanisha kuwa unahitaji msaada kwa Mungu, wewe Peke yako huwezi kufanya chaguo sahihi. Mungu atakudirect upite wapi ili ukutane na mke mwema na utakapokutana naye utambuaje kuwa huyu ndiye

Unaingia kumsaka sasa, na kwa muongozo wa Mungu Ukikutana naye utamjua tu huyu ndiye. Tatizo letu wengi ni kwamba tunajichagulia mtu either kwa tamaa zetu afu unaanza kujisikilizisha sauti yako wewe mwenyewe ikisema "huyu ndiye", na sio sauti ya Mungu. Mwisho wa siku maumivu tuuu

N:B
Wema" wa mke ndiyo nguzo ya sifa nyingine zote za mke. Ndo maana imeandikwa "mke mwema ni nani awezaye kumwona" Mithali 31 :10- 31 imemuelezea vizuri sana mke mwema. "Wema" ni universal then vifate uzuri, rangi, height, figure, kabila etc kwa sababu hivi vyote ni subjective kutegemea na muhusika.
Then Kila mwanamke ni mke, but sio kila mke ni mke wako, so Mungu akuongoze kumchagua yule wa kwako
Kweli wewe ni Heaven sent!!!
 
Penye miti, hapana wajenzi!

Kusubiri au kuhangaika kutafuta mke aliye bora kunatofautiana na uelewa wa mtu.

Ukiangalia bibilia uliyosema, mfano Musa, ilimbidi ahangaike na kufanya kazi kwa miaka 14,kupata mke aliyempenda na mwema.

Wengine kama Yusufu, aliletewa mke mwema (mariam) na Mungu hivyo hakuhangaika.

Mke mwema anatoka kwa Mungu lakini sio kanisani, msikitini, wala hekaluni. Hapatikani vilabuni, disco, au madanguroni!

Cha msingi ni kumpata umpendaye na akupendaye pia.
hiyo avator yako na ujumbe wako haviendani.
 
penzi la kweli halitafutwi, ukishaona unaanza kusuffer ujuue patupu hapo
 
Back
Top Bottom