Biblia: Dawa thabiti ya mapenzi

Biblia: Dawa thabiti ya mapenzi

Mkuu Divine,kwa mujibu wa biblia na mafundisho mengi ya wasomi wazuri wa biblia,Mungu wetu humpa mtu kitu atakacho,sio yeye alichokipanga.
Kuna watu wengi sana,hasa mabinti ambao wapo desperate na ndoa huwa wanaenda mbele za Mungu wakiomba wapewe mume bora na Bwana Mungu,kitu ambacho si sahihi.
Jambo sahihi ambalo wanashindwa kuelewa ni kuwa Bwana Mungu wetu alikwisha sema tumkumbushe na tuhojiane naye. Sasa kuhojiana hapo ndipo watu wengi huwa wanashindwa kufanya,maana hapo sio tu kumwachia Mungu jukumu la kukupa mke au mume bora bila ya kutaja ubora unaoutaka wewe ni upi.Mfano mimi na mrefu na napenda mke wangu awe mrefu na mweusi,then nikamwambia Mungu naomba unipe mke bora bila ya kumwambia mke bora kwangu anakuwa 1,2,3...,sasa akiniletea binti mfupi mweupe,unategemea kweli tutadumu katika mahusiano yetu ya pre marriage kweli?Ndio maana huwa tunakutana na kupendana kwa kudanganyana mwisho wa siku tunaachana,ni kwa sababu ama hautujui tunataka nini ama tunajua tunataka na kupenda nini but hatuhojiani na Bwana Mungu juu ya hayo tupendayo na tutakayo.

Absolutely perfect....cheers my man!!!
 
KWA WENYE FIKRA PANA TU BIBLIA ILIPOSEMA "Enyi Wanaume Ishini na wake zenu kwa AKILI" Mungu alikuwa anajua anachosema. Kama huna akili Mwanamke atakukoroga maisha yako yote na utaishia kusema "Women are so Complicated"

Wanawake huwa wanaongea vitu 'Kirahisi-rahisi tu' lakini huwa vinamaanisha 'Vitu Vigumu Ajabu'. Wanawake wanaweza kukwambia "Mi nataka Mwanaume anipende tu BHAASSS!! Ukidhani kwamba Upendo wako unatosha kwake UTAKUWA UMEFELI.

Wanawake wanahitaji vitu 4 na vyote VIENDE KWA PAMOJA (Perpendicularly), vitu hivyo ni;
1.HELA
2.GOOD SEX
3.CARING MAN
4.MUDA

Kuna Wanaume wanajua"Kusex" mwanamke anatosheka, na wana hela ila WAKO BUSY... Hii factor ya wewe kuwa Busy tu itamfanya mtu mwingine mwenye Muda "Amtafune kiulaini kabisa" halafu wewe utashangaa..."Mke wangu nampa kila kitu,hela za kila kitu nampa..YES, Amekaa muda mrefu uko bize unasaka hela na adui namba 1 wa Mwanamke ni

LONELINESS....
A lonely Woman can easily betrapped by anyone.. hata House boy akimpa ATTENTION endlessly anakula mzigo

Unataka Mwanamke awe wako peke yako?Fuata kanuni ya KIBIBLIA, ishi nae kwa akili....
Mpe MUDA..
Mpe HELA...
Mpe Kisago kitandani...
Mpe CARE na ATTENTION

Nimemaliza! Kazi kwenu

Kumpa muda itakuwa vigumu zaid ya weekend na muda wa kulala, vinginevyo njaa itapiga hodi
 
√ Yeye ni kiumbe dhaifu ila kinatawala
√ Ni chombo cha uzazi na mmiliki halisi na halali wa watoto wako.
√ Chombo cha starehe
√ Stress generating machine

Duh ni CHOMBO..?! Bujibuji
 
Last edited by a moderator:
KWA WENYE FIKRA PANA TU BIBLIA ILIPOSEMA "Enyi Wanaume Ishini na wake zenu kwa AKILI" Mungu alikuwa anajua anachosema. Kama huna akili Mwanamke atakukoroga maisha yako yote na utaishia kusema "Women are so Complicated"

Wanawake huwa wanaongea vitu 'Kirahisi-rahisi tu' lakini huwa vinamaanisha 'Vitu Vigumu Ajabu'. Wanawake wanaweza kukwambia "Mi nataka Mwanaume anipende tu BHAASSS!! Ukidhani kwamba Upendo wako unatosha kwake UTAKUWA UMEFELI.

Wanawake wanahitaji vitu 4 na vyote VIENDE KWA PAMOJA (Perpendicularly), vitu hivyo ni;
1.HELA
2.GOOD SEX
3.CARING MAN
4.MUDA

Kuna Wanaume wanajua"Kusex" mwanamke anatosheka, na wana hela ila WAKO BUSY... Hii factor ya wewe kuwa Busy tu itamfanya mtu mwingine mwenye Muda "Amtafune kiulaini kabisa" halafu wewe utashangaa..."Mke wangu nampa kila kitu,hela za kila kitu nampa..YES, Amekaa muda mrefu uko bize unasaka hela na adui namba 1 wa Mwanamke ni

LONELINESS....
A lonely Woman can easily betrapped by anyone.. hata House boy akimpa ATTENTION endlessly anakula mzigo

Unataka Mwanamke awe wako peke yako?Fuata kanuni ya KIBIBLIA, ishi nae kwa akili....
Mpe MUDA..
Mpe HELA...
Mpe Kisago kitandani...
Mpe CARE na ATTENTION

Nimemaliza! Kazi kwenu

Shikamoo bujibuji,darasa lako zuri sana,vipi somo utalirudia tena lini mkuu???.
 
√ Stress generating machine

HAMKUZALIWA NAYE MMEKUTANA NAYE UKUBWANI TENA KWENYE UZINZI ILA ANAWEZA KUWAHARIBU NDUGU ZAKO WAZAZI WAKO NA MARAFIKI ZAKO MLIOKUWA NAO MLIOCHEZA NAO HATA MLIOKUWA NAO
KWELI WANAWAKE NI STRESS GENETATING MASHINE IF YOUR NOT STABLE

kweli mkuu,umegusa penyewe japo sio wote,km mke wangu yupo poa kabisa anajali Wazazi wangu,Ndugu zangu,rafiki zangu na jamaa zangu,Asante Mungu kwa kunipa mke Mwema.
 
Hapo Umemaanisha Wenye Mapenyi Bubu Au?.

Kwa Sbb Kwa Wenye Mungu Huwa Tunafundisha Kupanga Cku Za Kukutana,ivyo Itakusaidia Cku Iyo Kutokuwa Bize,alafu Kila M2 Anajua Kabsa Toka Asubuh Kwmb Leo Ni Cku Ya Ndoa, Ivyo Hujiandaa Na Mwili Nao Unajiandaa Vzr. By Pastor Illovo/Emmanuel
 
Yap bt lazima mapenz ya Mungu yatimizwe na sio mapenz yetu sisi
 
"Women are second God's MISTAKES" by fredrich.
Kosa alilolifanya MUNGU wewe utawesza kuliepuka...!! Tena binadamu ?
 
Back
Top Bottom