ni kichaa mmoja mtz anaishi kenya. baada ya kukimbia njaa na kwenda kenya kupiga kinanda chake kenya akapata hela miaka ya 1980 ameloea huko anatukana tanzania eti ina njaa. ni mchg fulani anachukia sana ccm.Ivi jaman huyu jamaa ni Mkenya au Mtz ,,kuna clip yake moja ivi amazing inaitwa kataa ccm tz ipone
Ni mtanzania anaishi Kericho pale kenya ukipita tu mpka wa Sirari
😎😎😎😎 jamaa noma,Ni mtz,kakimbilia kenya kwa usalama wake Baada ya kutishiwa uhai simply kwa kuikataa cccccccmmmmmmmmmm,..