Recent content by Mlimbo48

  1. M

    JamiiForums Tanzania Eti inakuwaje kumpa mwenzako Raha iwe dhambi

    Vipi hiyo furaha akipewa Mama yako au Dada zako hovyohovyo na wahuni mitaani?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Employment and Labour Relations Act. Cap. 366 - Section 40

    Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu kwa elimu uliyoitoa hapa,Inawezekana ulidhani unaandika tu lakini kiukweli umekuwa msaada mkubwa sana mimi Nikiwa mmoja wa wanufaika,Swala langu limekuja na majibu mazuri kwani wakati mwanzo nakuuliza michakato mingine ilikuwa inaendelea, lla gazette la...
  3. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM wapitisha maprofesa 16 kugombea ubunge

    Vipi Mkenda hayupo?
  4. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nitaipigia kura CCM kama Samia hatokuwa mgombea wa nafasi ya urais

    Mimi Asipogombea Samia sipigi kura.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Moto wa No reforms No election umeanza kuwaingia walimu watanzania, freedom is coming tomorrow!

    We kweli hujielewi,Kundi la walimu walioomba haijulikani Nani atapata.
  6. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Saikolojia ya Wananchi na Nchi kwa Ujumla ni kama hawautaki Uchaguzi wa Mwaka huu. Umedoda sana. Umekosa amsha amsha

    MBONA TUNAUTAKA SANA UCHAGUZI NA TUNAOMBA MUDA UFIKE HARAKA LABDA HUKO KWENU NDIYO HAMTAKI.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mwaka huu Serikali imetumia mfumo wa PEPMIS wa mwaka jana kupandisha madaraja Kwa mwaka 2024/2025. Matokeo yake watu wengi wameachwa

    Havi hadi leo tarehe 10/7/2025, Hakuna wanaostahili kupanda wameona mabadiliko?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Na vipi kwa wanaostahili kupanda madaraja wameona mabadiliko?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Masheikh wengi wanatetea Amani,badala ya Haki?j wakati Mtu Muhamad S.A.W ilibidi kuitafuta Haki kwa upanga?

    Uislamu hauamini kufanya vurugu kwa kigezo cha kutafuta haki,Labda nikuulize iyo haki imepotea leo? Kama ilipotea muda mrefu ulichukua hatua gani?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya wanawake wa kiislamu wampongeza Raisi Samia

    Wazazi wako wanavaa chupi?
Back
Top Bottom