Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia, Miradi iliyoachwa awamu ya tano yote imekamilika na mingine mingi inaendelea kubuniwa, SGR ujenzi unaendelea, Siku hizi husikii migomo vyuo vikuu mikopo inaendelea kutolewa,Sasa haya matusi ya kuitukana serikali sijui inatoka wapi.
Hili tukio linalosambaa kwenye mitandao baada ya mechi ya yanga chanzo chake ni nini hasa? Mana yanga ilishinda, Vipi tena inadaiwa mtu wa yanga ampige kocha wa timu pinzani?
Hii siyo nchi ya kiislamu, Mambo ya EDA yaachwe kwa wenye dini husika,Uislamu unataka ikisikika adhana watu waende msikitini kuswali, Mbona kuna shughuli nyingi za serikali zimefanyika muda wa adhana na hukuwai Kuja kuandika huku kama Mh Rais hajavunja shughuli na kwenda kuswali? Au unadhani...
Labda jiulize jambo dogo tu, Kwenye uislamu jambo lililosisitizwa sana ni swala, Yaani kuswali swala tano, Sasa unaweza kukuta kuna shughuli ya kitaifa na muda wa swala umefika, Hivi kiongozi anaweza kusitisha shughuli ili akaswali? Na akifanya hivyo itakuwaje? Sasa sisi wote tunapambania EDA...
Wewe hujagundua, Wenzio wanapambana kuonesha kwamba Mwanamke hatakiwi kuwa kiongozi katika kipindi kama hiki,Wewe jiulize sheria zote za uislamu kwanini hawazipiganii? Mbona hawapiganii mahakama ya kadhi? Wote leo wanapambania EDA,Mbona hawapiganii swala? Kuna wakati kiongozi wa kitaifa anakuwa...
Kwa Mala ya kwanza naona watu wasiohusika na uislamu wanapigania sheria za kiislamu, Kwa taarifa yako hata ikitokea Aliyefiwa na mume ni daktari bingwa, Na kuna mgonjwa hospitali, Mfiwa anaruhusiwa kumtibia hata kama yupo kwenye Eda, Kwa kuwa Mh Rais ni kiongozi wa wananchi kuna shughuli...
Kwanza baada ya kesi kuisha lazima ijulikane hatua ulizochukua kwa Mwajiri wako, Mana unasema unazungushwa, Unazungushwaje? Je ulimwandikia barua Mwajiri kuomba stahiki zako ikiwemo daraja? Kama unadai kwa mdomo hata miaka kumi itapita na utazungushwa tu, Sema wewe ulifanya nini hadi sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.