Recent content by Mlimbo48

  1. M

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Doumbia hajafunga hata moja leo?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mimi bado sijaona chama mbadala cha kuiongoza nchi tofauti na CCM

    Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia, Miradi iliyoachwa awamu ya tano yote imekamilika na mingine mingi inaendelea kubuniwa, SGR ujenzi unaendelea, Siku hizi husikii migomo vyuo vikuu mikopo inaendelea kutolewa,Sasa haya matusi ya kuitukana serikali sijui inatoka wapi.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua atujuze.

    He!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua atujuze.

    Hoja yangu kama yanga walishinda kwanini vampige? Yani sababu ya kumpiga ndiyo naitafuta.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua atujuze.

    Hili tukio linalosambaa kwenye mitandao baada ya mechi ya yanga chanzo chake ni nini hasa? Mana yanga ilishinda, Vipi tena inadaiwa mtu wa yanga ampige kocha wa timu pinzani?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nadhani huu ukumbatiaji wa wicknell kwa rais wa nchi haujakaa kiprotical , amemkumbatia vibaya na sidhani dini kama inaruhusu.

    Nyinyi mna dini yenu na wao wana dini yao, Fata dini yako.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa Kislam akiwa eda anaruhusiwa kukumbatiwa hadharani?

    Hii siyo nchi ya kiislamu, Mambo ya EDA yaachwe kwa wenye dini husika,Uislamu unataka ikisikika adhana watu waende msikitini kuswali, Mbona kuna shughuli nyingi za serikali zimefanyika muda wa adhana na hukuwai Kuja kuandika huku kama Mh Rais hajavunja shughuli na kwenda kuswali? Au unadhani...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Mwigulu amfariji Rais Samia kufuatia kifo cha mume wake

    Kama ni ulimbukeni basi nchi hii Ina malimbukeni wengi, Mimi nimewai kumuona Lisu na Heche kuna siku walivaa kanzu.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Mwigulu amfariji Rais Samia kufuatia kifo cha mume wake

    Kwenye matukio kama msiba kumfariji mfiwa kwa kupiga goti ni kawaida sana,
  10. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Mwigulu amfariji Rais Samia kufuatia kifo cha mume wake

    Acha chuki Kaka, Yale ni mavazi tu wewe kama hutaki usivae, Na anayevaa usimkasirikie.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ajabu: Samia kaanza kuongea na Wanahabari wakati hajamaliza Eda! 🤔

    Hilo ndiyo lengo kuu.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ajabu: Samia kaanza kuongea na Wanahabari wakati hajamaliza Eda! 🤔

    Labda jiulize jambo dogo tu, Kwenye uislamu jambo lililosisitizwa sana ni swala, Yaani kuswali swala tano, Sasa unaweza kukuta kuna shughuli ya kitaifa na muda wa swala umefika, Hivi kiongozi anaweza kusitisha shughuli ili akaswali? Na akifanya hivyo itakuwaje? Sasa sisi wote tunapambania EDA...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ajabu: Samia kaanza kuongea na Wanahabari wakati hajamaliza Eda! 🤔

    Wewe hujagundua, Wenzio wanapambana kuonesha kwamba Mwanamke hatakiwi kuwa kiongozi katika kipindi kama hiki,Wewe jiulize sheria zote za uislamu kwanini hawazipiganii? Mbona hawapiganii mahakama ya kadhi? Wote leo wanapambania EDA,Mbona hawapiganii swala? Kuna wakati kiongozi wa kitaifa anakuwa...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ajabu: Samia kaanza kuongea na Wanahabari wakati hajamaliza Eda! 🤔

    Kwa Mala ya kwanza naona watu wasiohusika na uislamu wanapigania sheria za kiislamu, Kwa taarifa yako hata ikitokea Aliyefiwa na mume ni daktari bingwa, Na kuna mgonjwa hospitali, Mfiwa anaruhusiwa kumtibia hata kama yupo kwenye Eda, Kwa kuwa Mh Rais ni kiongozi wa wananchi kuna shughuli...
  15. M

    JamiiForums Tanzania HAKI YA KULIPWA FIDIA BAADA YA KUSHINDA KESI

    Kwanza baada ya kesi kuisha lazima ijulikane hatua ulizochukua kwa Mwajiri wako, Mana unasema unazungushwa, Unazungushwaje? Je ulimwandikia barua Mwajiri kuomba stahiki zako ikiwemo daraja? Kama unadai kwa mdomo hata miaka kumi itapita na utazungushwa tu, Sema wewe ulifanya nini hadi sasa.
Back
Top Bottom