kagebby, 0713566204
Piga namba hiyo...anapatikana kariakoo;ni mtu sahihi kwa hilo tatizo...alimsaidia mtu wangu ambaye alikuwa kishafikia kuandikiwa operation...ila nikamzuia na kufatilia dawa kwa huyo bwana.
Yupo vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu....kuna dada mmoja jilimnunulia dawa za mitishamba akatumia na kupona kabisa...alikuwa kisha hangaika sana mahospitali na kwa dr. Mwaka....
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...wanaume tumepigwa 3-0;sijaona kosa la dada yetu aisee...japo kama mke alitakiwa afe na tai shingoni....
Pia kitendo cha yeye kutembea na jamaa aliyekuwa cycle moja na mmewe...kaonekana boya kinoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.